LOTH HEMA
JF-Expert Member
- Dec 6, 2015
- 18,611
- 27,615
Sasa we dogo mpaka unaoa mwanamke aliyezaa tayari hukuona mabinti ambao bado hawajazaa uoe? Hawa masingo maza wana watu wao wa kuwaoa, huolewa na majibaba yaliyoachwa na wake zao au huongezwa wake wa pili tatu au vimada tu. Jibaba lenye mtoto/watoto halijuti kuoa singo maza kwa kuwa nalo lina mtoto/tayari, na kama mke aliondoka na mtoto/watoto huanza upya kuishi na single mother mwenye mtoto/watoto. Wanaume wengi hupendelea wenye idadi ya watoto isiyozidi watoto walio nao tayari na pia hutegemea hali ya afya ya mwili na akili ikoje ongeza na hali ya uchumi wa single mothera ikoje