Najuta kuolewa!

Monicca juzi tu ulitupasha ya staff mwenzio,
leo mbona kama unayasogeza yaje kwako, Ndoa yana vitu vingi ila misingi mikuu miwili ni hii

1.Uvumilivu
2.Usikivu
 
Siwezi vumilia mi ni mtu wa kujirusha yeye anakata tushinde ndani tu wkend zote
Nafikiri unatakiwa ubadili namna ya kuishi, ulikula kiapo cha kuwa na huyo mwenza wako siku zote za maisha yenu hapa duniani. Na ukitaka kufurahia, toa sadaka baadhi ya mambo ambayo ni kero kwa mwenzio kama hayo. Nina hakika, hata yeye kuna baadhi ya vitu alipenda kufanya ila ameacha kwa sababu yako.
#FurahiaNdoa
 
Monicca umerudi. si uliaga umerud kazini hutakuwepo hewani
 
Sasa weekend usikae na mmeo unataka ukae na nani?
Makubwa [emoji849][emoji849][emoji849]
 
Asante kwa ushauri
 
Taraka!! Huo ulimi una ganzi? Sema talaka mbaavu
 
Weee nafikiri uloenda kukojolewa tu na kuunguzwa kuta za ndani za kei yako, hicho ndo ulitaka wala sio ndoa!!
Ingawa ni stori tu umeibuni ila hamna kitu hapo.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…