Najuta kuolewa!

Najuta kuolewa!

moniccca

JF-Expert Member
Joined
Nov 15, 2015
Posts
2,383
Reaction score
3,285
Yaani ni tabu ukichelewa kurudi kidogo tu lawama kibao.

ukisema utembelee shost zako huruhusiwi na maneno kibao.

kibaya zaid mume huyu ni bingwa wa kununa kitu kidogo atanuna siku saba! Loh ! Bora nibaki sinngle mie ..

Nadai taraka yangu
 
Yaani ni tabu ukichelewa kurudi kidogo tu lawama kibao.

ukisema utembelee shost zako huruhusiwi na maneno kibao.

kibaya zaid mume huyu ni bingwa wa kununa kitu kidogo atanuna siku saba! Loh ! Bora nibaki sinngle mie ..

Nadai taraka yangu
monicca nilijua tuu! kama ya kwanza ulishindwa hii usingeweza kabisaaa!
 
Monicca
Yule rafiki na boss wako waliofumaniwa wanaendeleaje?
 
Back
Top Bottom