Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Rais wako wa nchi anasema huko Marekani nchi yetu hali ya maisha ya wananchi yame improve,ndio hayo sasa naamini na Hazina haina hela,watanzania tuna kazi.Wandugu.. maisha yangu ni magumu baada ya bodi kushindwa kutoa hela kwa wakati.. sasa nakula Mapapai asubuhi ilinijikimu maisha huku Mtwara ndugu zangu wa huko Dar es salaam, pamoja na wanafunzi wenzangu tujiulize hali hii itaenda mpaka lini? jamani wanachuo wenzangu huku tunakula matunda kama ndege usiku na mchana..jamani ifikiwe wakati bodi mtuonee huruma sisi watoto wa wawakulima.. mungu awabariki wadau
mlishauriwa toka mwanzo mu apply ARDHI UNIVERSITY chuo kilicho strictly n kinachoheshimika mkaleta pozi na kujishebedua kisa kijiji unachotoka ukiongelea chuo kikuu wanakifaham udsm peke ake...sasa mnakufa njaa na "tai shingoni" ya kuishi hall 2 na 5...izo pesa za field ardhi 2lishapewa since wakati 2nafanya U.E na saizi zishaisha na 2mesahau ka zilitolewa.2naendesha mausha kwa wayz nyingine...sasa utatambua ka udsm ni chuo kikuu or chuo kikubwa
hizi tambo za vyuo vyenu vinahusiana vp na maada??km ww umepata usimdhihaki ambae hajapata!!mwisho wa cku uraiani hautapimwa kwa jina la chuo ulichosoma bali kwa ulicho achieve maishani
Uko sawa kaka, kuna watu hawana akili kabisa. Sasa mwenzako hajapata we umepata then unamdhihaki, tatizo we don't think of tomorrow!
Eat more fruits,the slogan says!!
hii ni tabia ya watoto wa kudesa hawajiamini bure kabisa. try to wear an enteprising mind boy!Waliopangwa kazi kuna kitu wanapata kila mwezi, sasa kwa hawa wa field wanategemea mkopo toka heslb. Labda unamaanisha Nini ktk maandiko yako mkuu?
hii ni tabia ya watoto wa kudesa hawajiamini bure kabisa. try to wear an enteprising mind boy!Waliopangwa kazi kuna kitu wanapata kila mwezi, sasa kwa hawa wa field wanategemea mkopo toka heslb. Labda unamaanisha Nini ktk maandiko yako mkuu?
wandugu.. Maisha yangu ni magumu baada ya bodi kushindwa kutoa hela kwa wakati.. Sasa nakula mapapai asubuhi ilinijikimu maisha huku mtwara ndugu zangu wa huko dar es salaam, pamoja na wanafunzi wenzangu tujiulize hali hii itaenda mpaka lini? Jamani wanachuo wenzangu huku tunakula matunda kama ndege usiku na mchana..jamani ifikiwe wakati bodi mtuonee huruma sisi watoto wa wawakulima.. Mungu awabariki wadau
Jaman xory anayejua lolote kama kuna majina y waliochaguliwa kujiunga na vyuo vya ualimu anipe rpot nmechaguliwa wap! Jina n KUPELA S KUPELA Nliomba tangu mwez wa 6 jaman mpka leo celew npe jbu 0656287488 nakuomb unayefahamu
Wandugu.. maisha yangu ni magumu baada ya bodi kushindwa kutoa hela kwa wakati.. sasa nakula Mapapai asubuhi ilinijikimu maisha huku Mtwara ndugu zangu wa huko Dar es salaam, pamoja na wanafunzi wenzangu tujiulize hali hii itaenda mpaka lini? jamani wanachuo wenzangu huku tunakula matunda kama ndege usiku na mchana..jamani ifikiwe wakati bodi mtuonee huruma sisi watoto wa wawakulima.. mungu awabariki wadau
usijute. ni mwiko kujuta ktk maisha kwani hata ukijuta haitakusaidia maishaniWaliopangwa kazi kuna kitu wanapata kila mwezi, sasa kwa hawa wa field wanategemea mkopo toka heslb. Labda unamaanisha Nini ktk maandiko yako mkuu?
Wandugu.. maisha yangu ni magumu baada ya bodi kushindwa kutoa hela kwa wakati.. sasa nakula Mapapai asubuhi ilinijikimu maisha huku Mtwara ndugu zangu wa huko Dar es salaam, pamoja na wanafunzi wenzangu tujiulize hali hii itaenda mpaka lini? jamani wanachuo wenzangu huku tunakula matunda kama ndege usiku na mchana..jamani ifikiwe wakati bodi mtuonee huruma sisi watoto wa wawakulima.. mungu awabariki wadau
kazana na kula hayo matunda ndo yenye afya ayo dogo...teh teh teh...