Najuta kuwa karibu na shemeji zangu! Nisaidieni

Najuta kuwa karibu na shemeji zangu! Nisaidieni

duh.... ama kweli life is full of suprises!!!
 
Na wewe una tamaa umelikoroga sasa ..... ,Kuna mtu alikuvuta kwenda ku do na shemeji yako?Nahisi hawa wachumba zako huwa wanasimuliana juu yako:A S-coffee:
 
lakini may be hiyo ni sign ya hiyo family kwamba hao wadada hawajatulia, haiwezekani wew ukamtongoza shemeji yako hafu baada ya kufanikiwa unamwambia na mwingine haijatulia kabisa wana kamchezo ambao wanaucheza hao, nawe ulifanya vibaya but ishatokea ila kama ulivyosema wataka kumweleza huyo gf wako ni bora umwambie mapema.
 
i am so sorry guys, i am not quiet sure why i did this, i feel a burde on my shoulders, i felt members in jf will my lean on point but most of them are pushing me on the turnel!please guys accept my a apology, i am even planning to talk with my girlfriend about this in the coming two to three days! i am sorry,

kufa nayo kiume, wanaume tunafichaga siri ngapi? mbona una roho nyepesi hivyo?
 
Ulifanya makusudi,dnt play innocent.

Msijifanye mnamshambulia kihivyo, haya mambo yanatokea mpeni solution, kwanza yeye kulileta hapa tayari anaonyesha apology, nyie mambo manapi ya aibu na ajabu kuliko hili mnafanya halafu mnajifanya kumshambulia hapa, we nanii wewe.
 
inaonesha unapenda sana ngono ndio maana ukamkubalia acha ngono kijana tulia maisha hayaendi hivyo na kwa taarifa yako huyo Gfr wako iliishakula kwako wameishaambizana kila kitu
 
inaonesha unapenda sana ngono ndio maana ukamkubalia acha ngono kijana tulia maisha hayaendi hivyo na kwa taarifa yako huyo Gfr wako iliishakula kwako wameishaambizana kila kitu

pole sana Mtoahoja, mi siwezi kukulaumu sana kwani sijui mazingira yote hii mambo ilivotokea, ila tukubali tusikubali haya mambo yanatokea sana! HATA SAMSON NYWELE TU ZILIMMALIZA PAMOJA NA MIGUVU YAKE YOTE so tusimlaumu sana lakini lazima uangalie jinsi ya kuhandle hii ishu make imekaa vibaya.
1.inawezekana ni mchezo wao wa siku nyingi labda u are so strong kwenye bed
2.Inawezekana hawa wawili hawapendi umuoe dada yao labda wivu unawasumbua
3. Inawezekana washaambizana na wote wanajua sema gf wako anakusilizia
4.Inawezeka hata sio wote wako ivo na labda ukisema unaweza kuleta ugomvi ndani ya familia
5. Tenga muda mzuri, nenda beach kafikirie sana jinsi ya kutatua hili tatizo kweli uliteleza na haya mambo ni kawaida kwa wanaume! Gigs wa man u katembea na mke wa mdogo wak e for ten years consecutively but finaly the recoinciled so think on it!
 
thanks guys for your good and chelenging advise, i do appriciate for what u contributed on thisn topic, no one to blame other than me myself and i, its a result from wrongs doing commited by myself, i feel bad for everything, i bag sorry to you guys to my gf, to my brothers and sisters, sorry to my homies and best friends of mine, its a learning point to me and you too! if you could be able to open my heart just a single sec and look the way how i think and feel this situation!its a mercy!

Life it is a long journey, it is a mix of good and bad things, a combination of wrong and good doing! i am saying this from the deepest of my heart, i did this with no intention to betray my love, i love her n i always respect her, i am not quite sure what happened!anyway i ray this in a her hands in a secret way, i promise to take my time and think on it, currently i need a leave just to go outside the city then when i will be back, surelly i will be having something to decide on this puzzled event!

thanks guys
 
Nina mtu wangu na nampenda sana, kuna siku nilimake apointment na mdogowake na gf wangu na lengo kuna ishu nilitaka kujua juu ya gf wangu, cha ajabu alimponda sana dada yake, sikujali zaidi niliona vema nifanye analysis ndo nihukum, wakati tupo kwenye gari namrudisha shem wangu alikuwa mara ananigusa bega huku nadrive nilihisi kitu lakini sikujali, wakati namshusha aliniangalia usoni kama anataka kitu mi nikakausha,

alipofika home akanipigia kunitaarifu kuwa amefika, baadae akaniambia atakuja kwangu kuna ishu anataka kuniambia, kutokana na kumpenda sana gf wangu na nilitaka kujua basi nilimkaribisha, mi ni mwanadamu kabisa alichonimbia ni kuwa ananipenda tena sana na yuko tayari kwa lolote,nilikataa alichoniambia nikikataa anamwambia dada yake! ni kwleli ni mzuri na anavutia sana na mimi niliingiwa na shetani nikamkubalia sema niligoma kuplay nae siku hiyo kwani roho ilisita sana na kesho yake nikampa sharti la kutest hiv nikihisi atakimbia, kweli alikuja tukaenda kutest and we found free hiv all of us!siku hiyo nilido with protectiction lakini! iliniuma sana tena sana but thats it!

Kwa sasa naona na dada yao kaibuka mara smu saa sita usiku mara g9t text nyingi mara gmorning shem wa ukweli, mara nataka kukutoa nikimmwabia poa ila tuwena mdogo wake yani gf wangu hataki!sasa imekuwa kero kwangu, nimebadilisha namba ya simu kukwepa usumbufu huo lakini wapi! najuta na kweli nilikosea sana kujiingiza kwenye mambo kama hayo hali gf wangu we are in good terms! sasa je nikimuoa na hawa jamaa nitakuwa nawachukuliaje au wao watanichukuliaje? kweli nimekoma! i am sorry for what happened! soory to my gg
na nina mpango wa kumwambia hiki kisa takavyoamua i will be ready!

This contains alot of doubts. Huenda huyo gf wako aliwafanyizia hao dada zake nao wameamua kulipiza kisasi
 
Nina mtu wangu na nampenda sana, kuna siku nilimake apointment na mdogowake na gf wangu na lengo kuna ishu nilitaka kujua juu ya gf wangu, cha ajabu alimponda sana dada yake, sikujali zaidi niliona vema nifanye analysis ndo nihukum, wakati tupo kwenye gari namrudisha shem wangu alikuwa mara ananigusa bega huku nadrive nilihisi kitu lakini sikujali, wakati namshusha aliniangalia usoni kama anataka kitu mi nikakausha,

alipofika home akanipigia kunitaarifu kuwa amefika, baadae akaniambia atakuja kwangu kuna ishu anataka kuniambia, kutokana na kumpenda sana gf wangu na nilitaka kujua basi nilimkaribisha, mi ni mwanadamu kabisa alichonimbia ni kuwa ananipenda tena sana na yuko tayari kwa lolote,nilikataa alichoniambia nikikataa anamwambia dada yake! ni kwleli ni mzuri na anavutia sana na mimi niliingiwa na shetani nikamkubalia sema niligoma kuplay nae siku hiyo kwani roho ilisita sana na kesho yake nikampa sharti la kutest hiv nikihisi atakimbia, kweli alikuja tukaenda kutest and we found free hiv all of us!siku hiyo nilido with protectiction lakini! iliniuma sana tena sana but thats it!

Kwa sasa naona na dada yao kaibuka mara smu saa sita usiku mara g9t text nyingi mara gmorning shem wa ukweli, mara nataka kukutoa nikimmwabia poa ila tuwena mdogo wake yani gf wangu hataki!sasa imekuwa kero kwangu, nimebadilisha namba ya simu kukwepa usumbufu huo lakini wapi! najuta na kweli nilikosea sana kujiingiza kwenye mambo kama hayo hali gf wangu we are in good terms! sasa je nikimuoa na hawa jamaa nitakuwa nawachukuliaje au wao watanichukuliaje? kweli nimekoma! i am sorry for what happened! soory to my gg
na nina mpango wa kumwambia hiki kisa takavyoamua i will be ready!


What a heart breaking story!!! Imeniaribia siku yangu kabisa. Pole kwa gf wako..........laiti angejua............
 
Above
all that atasingiziwa shetani Shetani alinipitia mambo mengine ni
kujipeleka kama mbwa anapojipeleka kwa chatu huku anaenda kumezwa
Ulikuwa na uamuzi na maamuzi ya kukataa na kumkatalia shemejio kufanya
hicho ulichofanya Hukuwa na madhaifui kiasi cha kushindwa kujizuia wala
kukataa ila tamaa zako za kutaka kuonja kila mwanamke unayemuona ndio
zilikupelekea kufanya hivyo
Alidhamiria bwana. Mpaka wameenda kupima HIV! Walijipanga hao.
 
Sipati picha dada wa watu asikie hiyo stori atakavyo jisikia................na mbaya zaidi aisikie kwa third part. Kamwambie ukweli mapema usiendelee kumtesa jamani.
 
Umechemsha vibaya mi naona usepe wache wote jipange upya.
 
wewe jamaa umewadhalilisha sana dada zetu..hata kama huyo dogo alikuwa na stimu zake ila wewe ulikuwa kwenye nafasi kubwa sana ya kuweza kukataa
tamaa,,...

namshauri awamwage woote aanze upya na mwingine hiyo ni laana tayali!
 
Hapo mkuu hiyo familia ni ya kisanii wewe cha kufanya chapa mdogo mtupu chapa dada mtu kisha wamwage wote.

Hiyo familia siyo kabisaaaa! Na wewe ndo hufai na akili pia huna!Visa vingine mkaage navyo tu mana humu mkileta mnatutia hasira tu!:hatari::frusty:
 
umefanya kitu cha hatari kweli ndugu dah lkn utavuna ulichpanda kwani penzi ni kikohozi siku utaumbuka tu na ukiumbuka naomba uje useme tena humu jf tukushauri.
 
Majuto ni mjukuu siku zote.mkiambiwa hamsikii.
 
Hiyo familia siyo kabisaaaa! Na wewe ndo hufai na akili pia huna!Visa vingine mkaage navyo tu mana humu mkileta mnatutia hasira tu!:hatari::frusty:

yaani kabla ya kuanza kuwalaumu hao kina dada naanza ba mleta uzi,huyu ndio mjinga kabisa,tena ni mvivu wa kifikiri na kuchanganua mambo. hao wameona una kauwezo,na kwa kuwa dada zetu siku hizi ukiwa na gari yaani wanakuona ndio umeshayapatia maisha na unazo za kutosha, so huyo bint kashobokea mdundo,alipokaa siti ya mbele huku unadrive,alitamani ye ndio awe anakaa hapo kila siku
 
Back
Top Bottom