Lovie Lady
JF-Expert Member
- Feb 5, 2023
- 2,826
- 4,652
Saana na MWENYEZI MUNGU awalinde kwakweliWanaume tumebak wacheche sana.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Saana na MWENYEZI MUNGU awalinde kwakweliWanaume tumebak wacheche sana.
Unaoa mwanamke wa hivyo ili ugundue nini labda? Au usifiwe kuwa mkeo ni kisu na ana shape balaa. 🤣🤣🤣🤣🤣I get your point and that's why Feminism was supposed kupunguza iyo burden kwa wanaume kila kitu wao but kinachonikera ni unafki wa many women who earn their money but bado kila kitu wafanyiwe na wanaume. Wanaume mkatae huu ufala 100% it's ok kusaidiana kw shida and iwe vice versa Km she feels entitled kila kitu Achana naye kuwa mkali. Hii tabia inawaharibia savings many men kulea limtu limekaa tu kheri kahaba kabisa anayejiuza u know u pay u JamiiForums' Community Engagement Guidelines | Mwongozo wa Ushiriki kwenye Mijadala kuliko such women waliolelewa kw privilege, maisha mazuri, wamesoma Shule expensive wanalipwa vzuri bado yanataka yahudumiwe kila kitu; for such stupid women wasipopelekwa shule utakosea au kuwanyima urithi coz yanategemea wanaume tu? Siyapendi haya mawanawake kwa kweli na midume zoba inayowadekeza. Trade for Trade. Men kataeni huu uhuni.
Sidhani kama anafaidika, kwa upeo wangu anahitaji tiba na mtu wa saikolojia.Kila unachokiona Duniani kinafaida na hasara.
Kwako ni mavi ila vipi Kwa nzi na mende, bila Shaka ni chakula.
Kwako hakina faida lakini Mtoa mada anaweza kuwa anafaidika na haya, Watu tupo tofauti
Anatangaza Biashara yake..Hasara iliyoje Dume zima Ovyoo😏Amna mtu apa
Acha mtoto wangu asome huko huko bush! Huku mjini kumeoza.Dunia ishaharibika na mtu anatangaza kabisa huko tunakokwenda itakua balaa zaidi...
Sipati faida yoyote Ile zaidi ya kuongea ukweli wa moyo wangu kuwa mwanamke ana fursa kubwa naanapendelewa kuliko mwanaume inafika Mahala mpaka wabunge Viti maalum ni wanawake tuu wanaume hamruhusiwiKila unachokiona Duniani kinafaida na hasara.
Kwako ni mavi ila vipi Kwa nzi na mende, bila Shaka ni chakula.
Kwako hakina faida lakini Mtoa mada anaweza kuwa anafaidika na haya, Watu tupo tofauti
Nani alikwambia uwanawake rahisi??
Sisi wenyewe tunaonaga heri tungekua wanaume
Kuwa mwanamke ni kugumu hamna mfano siku uje mkoleni tukufunde utajua uanawake ni nini
Anyway: Achana na habari za kuwa mwanamke Bro utaolewa Shauri yako.
Upo sahihi piaSidhani kama anafaidika, kwa upeo wangu anahitaji tiba na mtu wa saikolojia.
Mtandaoni humu ni ngumu kujuwa mtu magumu anayopitia, tena bora huyu ametamani angekuwa mwanamke kuna wanaowaonea gere marehemu kwamba bora ya wao wamepumzika na shida za dunia.
Hapa issue ni umaskini uliokithiri ambao tunaita ufukara hata leo jumapili mtu pesa ya kutoka na kwenda kupata fresh air na kuachana na mitandao kwa muda hana.
Matokeo yake ndio haya mtu anaandika chochote bila kudigest na Wabongo hatujazoea kuwasaidia wenzetu wanaopitia magumu zaidi ya kuwacheka tu.
Sidhani kama anafaidika, kwa upeo wangu anahitaji tiba na mtu wa saikolojia.
Mtandaoni humu ni ngumu kujuwa mtu magumu anayopitia, tena bora huyu ametamani angekuwa mwanamke kuna wanaowaonea gere marehemu kwamba bora ya wao wamepumzika na shida za dunia.
Hapa issue ni umaskini uliokithiri ambao tunaita ufukara hata leo jumapili mtu pesa ya kutoka na kwenda kupata fresh air na kuachana na mitandao kwa muda hana.
Matokeo yake ndio haya mtu anaandika chochote bila kudigest na Wabongo hatujazoea kuwasaidia wenzetu wanaopitia magumu zaidi ya kuwacheka tu.
Sipati faida yoyote Ile zaidi ya kuongea ukweli wa moyo wangu kuwa mwanamke ana fursa kubwa naanapendelewa kuliko mwanaume inafika Mahala mpaka wabunge Viti maalum ni wanawake tuu wanaume hamruhusiwi
Nenda ugenini uombe hifadhi kama utapata ila mwanamke chapu tu anapata hifadhi
Nenda kwenye kampuni lenye fani yako uombe kazi ya kujitolea uone ilivyo mbinde kupewa hiyo fursa hata kama niyakujitolea Lakin Kwa msichana anapewa siti ya mbele na breakfast Bure
Pata shida ya pesa uone kati ya wewe na msichana Nani atapata msaada wa haraka
Hata ukienda bar na marafiki zako usiwaamini wanaweza kukutelekeza kukununulia bia japo mliondoka geto pamoja muende ukanunuliwe ila kufika bar mwamba ananunulia bia demu alomkuta bar hata hawajuani wewe unanunuliwa konyagi moja tu afu unaambiwa inatosha ila demu anapigwa soft drink kama savanna, desperado wewe unapigwa ngumu kumeza [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Chunguza hata hawa madogo wanaotembea mitaani kusajili line Kwa makundi wengi wanaotembea na mademu wote wanasajili line, lakini kila sehemu ataitwa demu aende kumsajilia mteja line
KWENYE mabar Kuna wahudumu mpaka wakiume uliza kati ya mwanaume na mwanamke Nani anafaidi Ile kazi. Barmaid wa kike ataachiwa chenji Kwa siku sio chini ya buku ten ila wa kiume anaondoka kapa mpaka mda wa kufunga bar.
Kuku bwege tena aliekosa haya😏😏😏TAYARI SISI WENGINE TULIONA MAPEMA TU KUWA HUYU NI KUKU BWEGE, ISHARA ZOTE ZILIKUWA ZINAONEKANA.
Ndio nikasema ningeulizwa kabla ya kuzaliwa ningetaka kuwa mwanamke ila tu huwa haiwezekaniNdio mfumo wa maisha ya duniani umewapendelea tayari.
Haya yote hata mm napinga#MWANAMKE KATAA KUINGILIWA KINYUME NA MAUMBILE
#KATAA USHOGA
#KATAA UBASHA
#PINGA USHOGA KWA NGUVU ZOTE
#PINGA UBASHA KWA NGUVU ZOTE
Kiazi wewe lofa nini, kwani nilisema nataka kubadili niwe mwanamke? Mm nilisema kabla ya kuzaliwa tungekuwa tunapewa fursa ya kuchagua kuzaliwa mwanaume au mwanamke basi ningesema nizaliwe mwanamke. Sasa Kuna ubaya gn kuzaliwa mwanamke?Kuku bwege tena aliekosa haya[emoji57][emoji57][emoji57]
Mm nimeeleza faida za wanawake kwenye jamii yetu hususani kutoboa kimaisha ana fursa kuliko sisi wanaume
Kuna faida gn kama unateseka? Hapo penyewe unatawaliwa na mwanamke (Samia suluhu). Tuache sifa zinazoumiza miili yetu tunachoka nakuchakaa eti uanaume [emoji28][emoji28][emoji28][emoji28]Mkuu huyo anafaidika, Watu wapo tofauti Mno.
Hivi tunacyowa
Kwa Sisi tunaopenda kujitawala na kujitegemea na kutegemewa tunaona uanaume ndio b
Hebu acha kupost tafuta issue nyingine ya kusindikiza weekend yako, maana mtu ataona thread INA post kibao kumbe nusu ni post zako kwa kureply kila post, ndio maana wajuzi wanaona unatafuta attention lakini kwa wrong timing.Haya yote hata mm napinga
Mimi ni Mwanamke tena Mwanamke haswaa..ambae wewe TAAHIRA MJAA LAANA MWENYE MADEVU NA BALLS ZINAZOKUNING’INIA unalila lia MTANDAONI KUTAFUTA BWANAKiazi wewe lofa nini, kwani nilisema nataka kubadili niwe mwanamke? Mm nilisema kabla ya kuzaliwa tungekuwa tunapewa fursa ya kuchagua kuzaliwa mwanaume au mwanamke basi ningesema nizaliwe mwanamke. Sasa Kuna ubaya gn kuzaliwa mwanamke?