Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mpumzisheni kidogo saahiz yupo analikatikia dyudyu [emoji23][emoji1787] MpwayunguLicious...
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] khaaah nyie watu, uwiiiiiiihNi mwili unaomsukuma kuwa vile yaan kama anavyotamani kumtafuta mwanamke hata kama ni kumpa chochote ilimradi apate mbususu katka mazingira hayo atabadirisha sauti, atabadirisha miondoko, vipodozi nk ilimradi tu apendwe na me, wakati huohuo anaogopa kujulikana
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] mwenyewee bado sijafundwa na kungwiiii, sasa itakuajeee???Hata kahaba akitaka kuolewa hufundwa na kungwi.
Uwe kungwi wake sasa[emoji23]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] wanawake toleo jipyaaa???Kuwa mwanamke inawezekana ila kuwa na uke ndio huwezi, wanawake wenzio akina hakika na James delicious [emoji39] wapo ila uke ndio wamekosa.
Hata huko bush km kuharibika ataharibikaa tyuuh.Acha mtoto wangu asome huko huko bush! Huku mjini kumeoza.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] khaaaaah[emoji23][emoji23]
Jamaa linapigapiga delibolo kwenye tako la mpwayungu halafu linamuuliza imeingia vizuri?[emoji2]
Sio kirahisi kama mjini.Hata huko bush km kuharibika ataharibikaa tyuuh.
Kabisa na hapo mods wamepunguza ukali wa manenoInawezekana, asingetamani hayo..
We shoga nini?Unadhani mashoga hawana akili timamu au hawaruhusiwi kupinga kitu. Shoga naye ni kama mwanamke sema shida ni ndevu na naumbile ya sura.
We kijana ni shoga,urudi shule walimu wakusaidie kutambua jinsia yako.Kwani wanawake ni mashoga? Nimesema ningetamani kuwa mwanamke sio shoga, shoga ni mwanaume nasio mwanamke
Sasa imeshafika [emoji16][emoji16][emoji16]Sitaki kuamini hii thread haijafikia post 1000 tangu jana [emoji28][emoji28]
[emoji109][emoji109]One man down, over, one man down, i repeat
Haya bhanaaa,Sio kirahisi kama mjini.
We kila mtoa maoni unaona ni shoga sio, au utafuta wanachama? Kafie huko na mafilauni wenzioWe shoga nini?
We shoga nini?
So sad...Kumbe ni Shoger we jamaa!!!???Kama tungekuwa tunaulizwa kabla ya kuzaliwa basi ningesema niwe mwanamke ila tu hii option haipo. Wajameni kuwa mwanaume ni misukosuko tena Kwa sisi wenye kipato kikubwa japo sio matajiri ndokabisa. Imagine kila kitu mwanaume inabidi upambane. Hapa nazungumzia kwanzia kwenye elimu yani mtoto WA kiume hupewi kipaombele kama wakike ndio maana kila foundation inayokuja nikumkomboa mtoto WA kike wewe wakiume utajijua mwenyewe
Uje kwenye kutafuta mwanaume unatafuta huku mwanamke anapewa. Kuna siku sitaisahau Enzi za umasikini wangu niliwahi kupata kibarua cha kuponda zege Kwa kutwa nikalipwa elfu saba baada ya kazi mpenz wangu akasema nimpelekee chipsi Yai na kidali cha kuku, pesa yote ikaishia kwake
Ukija kwenye mapenzi mwanaume inabidi upambane kuhonga tena ulie kweli kweli mbaya zaidi sisi ndotunashugulika kitandani mpaka jasho linatutoka
Ukija kwenye fursa unakuta una vyeti vizuri tu ila kwenye ajira anapata mtoto WA kike maana boss keshamega keki yake.
Haya yote ya nini Sasa, ningekuwa mwanamke Kwa akili zangu zilivyo smart ningewahi sana kufanikiwa kuliko Sasa tena ningekuwa zaidi ya hapa sema tu uanaume ndoumenichelewesha [emoji24][emoji24][emoji24]
FORGIVE ME JESUS [emoji120][emoji120][emoji120]