Najuta kuzaliwa Tanzania

Najuta kuzaliwa Tanzania

Makonde plateu

JF-Expert Member
Joined
Nov 19, 2022
Posts
1,443
Reaction score
3,480
Aisee kwa hizi bata ninazokula huku abroad na maisha ya huku abroad daah sometime najilaumu kuzaliwa Tanzania sio kama nakufuru ila ndiyo uhalisia aisee
Mfano halisi kama bata langu nililokula qatar aisee sio poa nchi iko Well planned hamna longolongo kama hizo nchi zenu za kiAfika zimejaa siasa maji taka tu kiukweli maisha maisha ya Afrika ni hovyo sana narudia najuta sana
Marekani kwanza elimu ni bure na ni shule nzuri na za kuvutia hamna longolongo kuna uhuru wa kuzungumza na kuongea chochote kile
Nasema najuta sana kuzaliwa Afrika ni hovyo kabisa
 

Attachments

  • view-Blue-Mosque-Istanbul-Hagia-Sophia (2).jpg
    view-Blue-Mosque-Istanbul-Hagia-Sophia (2).jpg
    202.7 KB · Views: 11
  • reino-unido.jpg
    reino-unido.jpg
    38.4 KB · Views: 12
  • 6AAF1AC7-299C-4B79-9CE3-31C223CA2EE5_w1200_r1.jpg
    6AAF1AC7-299C-4B79-9CE3-31C223CA2EE5_w1200_r1.jpg
    110.2 KB · Views: 11
  • F8D4A24E-A982-4C3D-B4DE-A4BD964C7978_w408_r1_s.jpg
    F8D4A24E-A982-4C3D-B4DE-A4BD964C7978_w408_r1_s.jpg
    15.7 KB · Views: 11
Aisee kwa hizi bata ninazokula huku abroad na maisha ya huku abroad daah sometime najilaumu kuzaliwa Tanzania sio kama nakufuru ila ndiyo uhalisia aisee
Mfano halisi kama bata langu nililokula qatar aisee sio poa nchi iko Well planned hamna longolongo kama hizo nchi zenu za kiAfika zimejaa siasa maji taka tu kiukweli maisha maisha ya Afrika ni hovyo sana narudia najuta sana
Marekani kwanza elimu ni bure na ni shule nzuri na za kuvutia hamna longolongo kuna uhuru wa kuzungumza na kuongea chochote kile
Nasema najuta sana kuzaliwa Afrika ni hovyo kabisa
"Marekani kwanza elimu ni bure..."

Wadanganye hao hao ambao Marekani hawaijui.
 
Aisee kwa hizi bata ninazokula huku abroad na maisha ya huku abroad daah sometime najilaumu kuzaliwa Tanzania sio kama nakufuru ila ndiyo uhalisia aisee
Mfano halisi kama bata langu nililokula qatar aisee sio poa nchi iko Well planned hamna longolongo kama hizo nchi zenu za kiAfika zimejaa siasa maji taka tu kiukweli maisha maisha ya Afrika ni hovyo sana narudia najuta sana
Marekani kwanza elimu ni bure na ni shule nzuri na za kuvutia hamna longolongo kuna uhuru wa kuzungumza na kuongea chochote kile
Nasema najuta sana kuzaliwa Afrika ni hovyo kabisa
Kujuta kuzaliwa Tanzania, ni kujuta kuzaliwa na wazazi waliokuzaa ambao inawezekana nao ni watanzania
 
Dr. We kula maisha ndg. Kusoma ni kuzuri sana. Ila ukifahamu kuwa kila binadamu awe mla bata au mla manyoya wote watakufa inakuwa haikuumizi kichwa... Yesu Kristo alizaliwa kwenye zizi la ng'ombe akizungukwa na mavi ya ng'ombe... Huwezi amini kuwa Dunia hii yote ni yake. Hahahaaa!
 
Back
Top Bottom