Najuta kuzaliwa Tanzania

Najuta kuzaliwa Tanzania

Kwa hali ya kweli Tz ilivyo wala sikupingi... Nakuonea wivu ila me sijutii kuzaliwa Bongo maana sio mipango yangu... Mungu atanitengenezea njia maana yeye anajua sababu.
 
Kwanza kabisa nataka kudispell mambo mengi feki kwa hii post ,mm ni mzawa wa ifakara,morogoro Tanzania ,familia ye2 enzi hizo ilikuwa hatuna pesa,Ila mungu alinisaidia kupata wadhamini ,nimesoma kwa assistance mpaka masters level LLM,nchini marekani .
Life in the US to be specific on the surface appears all rosy but middle class na the poor and yes maskini wakutupwa marekani ni wengi Tena Sana ,it's a classic case of failed capitalism ,a simple Google search of homelessness itakupa clear cut disparities of poverty in the US .
Kwa pitapita zangu nlipatana na nurse in San Francisco , a whole educated nurse anaishi kwa gari design ya hiace ndio nyumba hyo , reason bieng skyhigh rental prices in that city ,ilibidi nikodi guest then [emoji23].
Gun violence,racism ,police harassment of people of colour, inflation ,poor pay , education ni way too costly ,bwana ndo ugraduate kule bila scholarship ni milima ya madeni.
The US ni rich on paper but kwa ground mambo ni tofauti Sana ,huko Qatar hitherto I will never ever live ,Sharia law za kisenge tu ,I wish waafrika wangejua how lucky we are ndio Kuna problems here and there but life is simple Sana huku ,I'd rather live in the land of my ancestors than scavenge in foreigners land ,huyu ni mjinga tu mweleweni
Mbona na wewe unaponda wakati huko USA ndio ulikopatia Elimu kama huku ni bora si ungeendelea kubaki huko Ifakara...
 
Ko hizo picha za google nfo umeamua uziattach hapa au sio au ww ndo iyo miti kwny izo picha,nenda soba bagamoyo utakua fresh
 
Mbona na wewe unaponda wakati huko USA ndio ulikopatia Elimu kama huku ni bora si ungeendelea kubaki huko Ifakara...
Si ndio hapo mkuu huyu jamaa shida anaishi zile state za Black America that too much violence na umaskini kama minesota,Georgia na state zingine za kimaskini
 
Si ndio hapo mkuu huyu jamaa shida anaishi zile state za Black America that too much violence na umaskini kama minesota,Georgia na state zingine za kimaskini
Unachosema upo sahihi majimbo mengi huko yametofautiana sana uchumi hasa kwa watu weusi...
 
Aisee kwa hizi bata ninazokula huku abroad na maisha ya huku abroad daah sometime najilaumu kuzaliwa Tanzania sio kama nakufuru ila ndiyo uhalisia aisee
Mfano halisi kama bata langu nililokula qatar aisee sio poa nchi iko Well planned hamna longolongo kama hizo nchi zenu za kiAfika zimejaa siasa maji taka tu kiukweli maisha maisha ya Afrika ni hovyo sana narudia najuta sana
Marekani kwanza elimu ni bure na ni shule nzuri na za kuvutia hamna longolongo kuna uhuru wa kuzungumza na kuongea chochote kile
Nasema najuta sana kuzaliwa Afrika ni hovyo kabisa
na picha zako za kudanload!

Sent from my TECNO KC6 using JamiiForums mobile app
 
Mbona na wewe unaponda wakati huko USA ndio ulikopatia Elimu kama huku ni bora si ungeendelea kubaki huko Ifakara...
Understanding ya wengi ni shida , rudia kisoma utafute theme of the post ,elimu sikuanza kule ,nliianza papa hapa ,mpaka sekondari ,Ila that's beside the point ,elewa theme of the post itself
 
Aisee kwa hizi bata ninazokula huku abroad na maisha ya huku abroad daah sometime najilaumu kuzaliwa Tanzania sio kama nakufuru ila ndiyo uhalisia aisee
Mfano halisi kama bata langu nililokula qatar aisee sio poa nchi iko Well planned hamna longolongo kama hizo nchi zenu za kiAfika zimejaa siasa maji taka tu kiukweli maisha maisha ya Afrika ni hovyo sana narudia najuta sana
Marekani kwanza elimu ni bure na ni shule nzuri na za kuvutia hamna longolongo kuna uhuru wa kuzungumza na kuongea chochote kile
Nasema najuta sana kuzaliwa Afrika ni hovyo kabisa
Lete picha ukiwa na boss ya Qatar.
 
Si ndio hapo mkuu huyu jamaa shida anaishi zile state za Black America that too much violence na umaskini kama minesota,Georgia na state zingine za kimaskini
Hakuna state yyte kule ambayo blacks ni majority ,labda California nlipokuwa na hapo latina community ndo wengi ,all other states ni white majority , na uwache kudanganya watu ,Georgia is one of the fastest growing states marekani
 
Sikujui wala Sina haja ya kukujua ,the world doesn't revolve around you lad, post yangu haikuwa yakukushambulia ww only myths pervasive in your argument .
The US debt level is the highest in the world ,gun violence is rife ,racism ,high education costs ,one of the highest costs of living miji Kama New York,San Francisco ,buying land is a headache kule ,point is a perfect society haipo ,shida zipo kila mahali .
Kule middle class wanaishi paycheck to paycheck ,salary ikichelewa tu crisis, ukienda madeni ,unapata mtu akona house mortgage,education mortgage,car mortgage acha ,salary zipo saw sema savings ni impossible na madeni kwa wingi.
Saizi wanalia inflation tu
Hakuna state yyte kule ambayo blacks ni majority ,labda California nlipokuwa na hapo latina community ndo wengi ,all other states ni white majority , na uwache kudanganya watu ,Georgia is one of the fastest growing states marekani
Somehow uko na point ila ilikuwa lazima Uniite mjinga? How and why
 
Kwanza kabisa nataka kudispell mambo mengi feki kwa hii post ,mm ni mzawa wa ifakara,morogoro Tanzania ,familia ye2 enzi hizo ilikuwa hatuna pesa,Ila mungu alinisaidia kupata wadhamini ,nimesoma kwa assistance mpaka masters level LLM,nchini marekani .
Life in the US to be specific on the surface appears all rosy but middle class na the poor and yes maskini wakutupwa marekani ni wengi Tena Sana ,it's a classic case of failed capitalism ,a simple Google search of homelessness itakupa clear cut disparities of poverty in the US .
Kwa pitapita zangu nlipatana na nurse in San Francisco , a whole educated nurse anaishi kwa gari design ya hiace ndio nyumba hyo , reason bieng skyhigh rental prices in that city ,ilibidi nikodi guest then [emoji23].
Gun violence,racism ,police harassment of people of colour, inflation ,poor pay , education ni way too costly ,bwana ndo ugraduate kule bila scholarship ni milima ya madeni.
The US ni rich on paper but kwa ground mambo ni tofauti Sana ,huko Qatar hitherto I will never ever live ,Sharia law za kisenge tu ,I wish waafrika wangejua how lucky we are ndio Kuna problems here and there but life is simple Sana huku ,I'd rather live in the land of my ancestors than scavenge in foreigners land ,huyu ni mjinga tu mweleweni
Kila mtu na views zake. ..

Siwezi mkatalia mtu anayeishi ndenga na maji huko vijijini akiniambia maisha ya Dar ni mazuri na bora kuliko kijijini kwao na wala siwezi kumshauri asije Dar.

Kwakuwa wewe upo Dar huna mishe, unashinda njaa, una daiwa kodi, umeme na bills nyingine ,vyakula vya kununua etc.

Nitamsahuri aje Dar kwasababu walau kuna miundombinu, huduma muhimu za kijamii kiasi, na mzunguko wa mkubwa wa pesa kulinganisha na kijijini kwao... lakini changamoto zakuishi Dar ni lazima akubali kukabiliana nazo ..mana tayari kashabafilisha mazingiria.

Unasema Tanzania is the best kwasababu changamoto zake umeshazizoea na upo lwenye comfort zone,
Ni ngumu sana kubadili mindset yako kupambana na mazingira ,au changamoto mpya ambazo akili yako haijazizoea!

Hata nikiku orodbeshea matatizo ambayo watu wa nchi nyingine wanayaona ni makubwa kuishi hapa Tz ,wewe utayachukulia simple tu.
 
Sikujui wala Sina haja ya kukujua ,the world doesn't revolve around you lad, post yangu haikuwa yakukushambulia ww only myths pervasive in your argument .
The US debt level is the highest in the world ,gun violence is rife ,racism ,high education costs ,one of the highest costs of living miji Kama New York,San Francisco ,buying land is a headache kule ,point is a perfect society haipo ,shida zipo kila mahali .
Kule middle class wanaishi paycheck to paycheck ,salary ikichelewa tu crisis, ukienda madeni ,unapata mtu akona house mortgage,education mortgage,car mortgage acha ,salary zipo saw sema savings ni impossible na madeni kwa wingi.
Saizi wanalia inflation tu
From the psychology point of view ...

Inaonesha wewe ulitamani sana uishi USA lakini ,kuna mambo yalikufanya ushindwe labda vitu kama visa ku expire, au

kushindwa kujipanga mapema ni namna gani ungefanya ili uweze kunaki huko mida wako wa masomo utakapo kamilika ..

Us kuna state 50+ , sasa unapozungumzia highest cost of living na kutaja state 3 tu kati ya hizo 50+ ndio nini..??

Zipo state nyingi amabzo ni affordable kuishi.. hata utaraibu wa tax unatofautiana kwa baadhi ya states

maisha hayaitaji ulelemama popote pale utakapoishi iwe kijijini iwe mjini ni lazima upambane. Hata huko kijijini kwenu kwenye ardi ya bure .. mashamba haya jilimi yenyewe.
 
Kwanza kabisa nataka kudispell mambo mengi feki kwa hii post ,mm ni mzawa wa ifakara,morogoro Tanzania ,familia ye2 enzi hizo ilikuwa hatuna pesa,Ila mungu alinisaidia kupata wadhamini ,nimesoma kwa assistance mpaka masters level LLM,nchini marekani .
Life in the US to be specific on the surface appears all rosy but middle class na the poor and yes maskini wakutupwa marekani ni wengi Tena Sana ,it's a classic case of failed capitalism ,a simple Google search of homelessness itakupa clear cut disparities of poverty in the US .
Kwa pitapita zangu nlipatana na nurse in San Francisco , a whole educated nurse anaishi kwa gari design ya hiace ndio nyumba hyo , reason bieng skyhigh rental prices in that city ,ilibidi nikodi guest then [emoji23].
Gun violence,racism ,police harassment of people of colour, inflation ,poor pay , education ni way too costly ,bwana ndo ugraduate kule bila scholarship ni milima ya madeni.
The US ni rich on paper but kwa ground mambo ni tofauti Sana ,huko Qatar hitherto I will never ever live ,Sharia law za kisenge tu ,I wish waafrika wangejua how lucky we are ndio Kuna problems here and there but life is simple Sana huku ,I'd rather live in the land of my ancestors than scavenge in foreigners land ,huyu ni mjinga tu mweleweni
Asa si Bora huyo nurse Ana gari, huku tz majobless wako kwa ndugu hawana job, kwahiyo ulidhani kila aliyesoma us atakuwa Ana kazi, eti wholy educated. Kwahiyo akili yako inakutuma kwamba kwa sababu Ni first world country ndo kunakuwa na 0 unemployment. Ulitaka rent iwe laki moja ili nchi iitwe first world au. Labda kapenda kuishi kwenye trolleys. Tena huyo mwenye trolley anaishi maisha mazuri kuliko mtz alopanga kwenye nyumba huku
 
Aisee kwa hizi bata ninazokula huku abroad na maisha ya huku abroad daah sometime najilaumu kuzaliwa Tanzania sio kama nakufuru ila ndiyo uhalisia aisee
Mfano halisi kama bata langu nililokula qatar aisee sio poa nchi iko Well planned hamna longolongo kama hizo nchi zenu za kiAfika zimejaa siasa maji taka tu kiukweli maisha maisha ya Afrika ni hovyo sana narudia najuta sana
Marekani kwanza elimu ni bure na ni shule nzuri na za kuvutia hamna longolongo kuna uhuru wa kuzungumza na kuongea chochote kile
Nasema najuta sana kuzaliwa Afrika ni hovyo kabisa
Sawa chawa
 
Back
Top Bottom