Mwenye passo anaweza kukupora hata demu wako na hili jua 😅..basi ukitafakari hii hali + joto+jumlisha mvua+kuchelewa kazini.....hapo mwanaume mwenye passo, vitz, starlet, march and the like unamuona kama ni mfalme.View attachment 1044583View attachment 1044584
Sent using Jamii Forums mobile app
.....aisee...usiuze gari kama hujajipanga kununua lingine ndani ya muda mfupi..[emoji1]Mkuu mpaka sasa anamiliki
Mountain bike na kofia ngumu [emoji28]
Si kwa jua hili....gaei ni gari..bora kiyoyozi kiwe kinapuliza..,[emoji1]Mwenye passo anaweza kukupora hata demu wako na hili jua [emoji28]
Eeh chombo ikiwa na ufriji ufriji ile basi mchezo umeishaSi kwa jua hili....gaei ni gari..bora kiyoyozi kiwe kinapuliza..,[emoji1]
Nunua pikipiki upunguze machungu na kama huwezi nakushauri nunua baiskeli aina ya swalaNilikua na kagari kangu IST kalikua kananisaidia sana hapa mjini (DSM) mambo yangu yalikua safi kidogo,, visafari vidogo vidogo na kukutana na warembo ilikua simple sana.
Sasa nikajikoroga kuitamani MARK X ,,Aliku nayo rafiki angu,, nilimuona anafaidi sana
Kwanini mimi niwe na IST alafu yeye MARK X, nikaona bora niiuze gari yangu ili niongezee pesa na mimi nichukue Mark X
Kilicho tokea nikafanikisaha kuiuza gar yangu na hapo nikawa nimekaribisha matatizo
Mpaka sasa sijafanikiwa kununua iyo MARK X niliyo itamani na sijui nitainunua lini,, pesa yenyewe naona giza, Kwani nimeitafuna
Naandika huu uzi kwa uchungu sana ninapo jiona nipo standi ya mwendokasi na kila gari inayo kuja imejaa
Sent using Jamii Forums mobile app
Kwa hiyo mark x ni bora kuliko ist? Wewe lazima msukumaNilikua na kagari kangu IST kalikua kananisaidia sana hapa mjini (DSM) mambo yangu yalikua safi kidogo, visafari vidogo vidogo na kukutana na warembo ilikua simple sana.
Sasa nikajikoroga kuitamani MARK X, Alikuwanayo rafiki angu, nilimuona anafaidi sana
Kwanini mimi niwe na IST halafu yeye MARK X, nikaona bora niiuze gari yangu ili niongezee pesa na mimi nichukue Mark X
Kilichotokea nikafanikisawa kuiuza gar yangu na hapo nikawa nimekaribisha matatizo. Mpaka sasa sijafanikiwa kununua hiyo MARK X niliyoitamani na sijui nitainunua lini, pesa yenyewe naona giza kwani nimeitafuna.
Naandika huu uzi kwa uchungu sana ninapojiona nipo standi ya mwendokasi na kila gari inayokuja imejaa.
Sent using Jamii Forums mobile app