mara nyingi sana
binadamu tunakuwa na kawaida ya kuona 'matatizo' yetu kama makuubwa sana
kumbe wapi....
ni madogo mno.......ukiyakubali na kuyachukulia kuwa ni madogo
Ongea na mkeo taratiibu
nenda nae kwa step......
1. hatua ya kwanza mwambie kuwa ulitoka nje.....na uombe msamaha
2.hatua ya pili jifanye huna uhakika kuwa huyo binti alizaa watoto wako au la
unataka ku find out
3.hatua ya tatu....unamwambia intention yako ya 'kulea watoto kama ukithiitisha ni wako'
Kongosho, mateka akikimbia usinililie, manake una jibu maswali ya mtego.
umejuaje details za huyu accidental father of twins?
mpaka dakika hii natafuta kinachokuchanganya sikioni kwa kweli.
Sioni kwa nini hujasema kwa mkeo, kwani akikasirika kwa mwezi atakufa?? Au ana magonjwa ya moyo??
Je ungerudi na VVU usingesema ili mnywe dawa wote???
Kwa nini mnapenda kuwafanya watoto victims wa mambo yenu?? Na ungejua mapema si ajabu ungesema atoe mimba???
nimegundua wanamme wanzidi kupotea katika kizazi hiki.
mara nyingi sana
binadamu tunakuwa na kawaida ya kuona 'matatizo' yetu kama makuubwa sana
kumbe wapi....
ni madogo mno.......ukiyakubali na kuyachukulia kuwa ni madogo
Ongea na mkeo taratiibu
nenda nae kwa step......
1. hatua ya kwanza mwambie kuwa ulitoka nje.....na uombe msamaha
2.hatua ya pili jifanye huna uhakika kuwa huyo binti alizaa watoto wako au la
unataka ku find out
3.hatua ya tatu....unamwambia intention yako ya 'kulea watoto kama ukithiitisha ni wako'
Mungu aepushie mbali. Najaribu kupiga picha camera imegoma kabisa. Subiri wenye watoto wa nje wanaweza kuwa washauri wazuri. Maana kuijua ngoma mpaka uingie ucheze. Pole sana.
Paulss, unajali hisia za mke wako, ni kweli ni vizuri kujali hisia za mke.
Je hisia za watoto? Achia mbali haki yao ya kumwona baba??
Je huyo mwanamke mwingine, ana jiwe kifuani?? Unadhani hana hisia kabisa sababu tu si mke?? Zingatia kuwa watoto wanafanya mahusiano yasipotee.
Hapa suala la hisia sioni kama ni priority tena maana mambo yashaharibika.
Hapa ni kufanya 'the right thing kwa kutumia right ways'
kumwambia mkeo haiepukiki, ya nini watoto wakutane siku ya msiba wa mzazi wawe rivals kwenye mali??
Siombei hili, imagine linatokea balaa kwa watoto wako utalia kimya kimya? Utaenda waliko kuonesha msibani??
Na ukienda msibani what for?? Unamkubali akiwa si hai wakati ulimkataa akiwa hai??
Sema mapema, tena sana na ikibidi baada ya muda mrefu watoto hao wawe wanakuja kwako ili wasionane kama maadui bali watu wa familia moja.