Najuta nimezaa nje ya ndoa, ushauri wako muhimu sana

paulss, kosa umeshalifanya then face the Quonsequences . vyovyote itakavyokuwa, make sure mke wako ni wa kwanza kujua, mambo ya kwenda kutafuta ushauri pembeni alafu mke wako asikie kutoka pembeni, ni mbaya sana, yaani ataona umemdhalilisha maradufu.
pole sana mkuu.
 
Last edited by a moderator:

Mkeo nae ni muhimu katika suala hili, lakini je umewafkiria watoto wako pia? je ungependa wakue huku wakifahamiana na wenye furaha au unataka waje wafahamiane wakiwa wakubwa. hapo kuna hatari ya kuletewa nyumbani mkwe ambaye ni mtoto wako pia. kama unataka kuepuka hayo muome msamaha mkeo na umueleze ukweli.
 
Ndugu yangu hapo kama wewe ni mwanaume halisi ni vema uwajibike tu, namaanisha inakupasa kueleza ukweli bila kuficha chochote kwa mkeo, kwa huyo binti na wazazi wake na kwa ndugu zako wote, ni bora wote waujue ukweli kupitia wewe mwenyewe kuliko wakiujua kutoka kwa wengine. Kumbuka wewe na mke wako siyo ndugu, lakini wewe na watoto wako ni ndugu. Nakushauri uwe upande wa watoto zaidi kuliko kwa mkeo ili kuhakikisha wanapata malezi bora. Ikibidi kawachukue uishi nao huko dar. Kama mkeo hatopenda basi itabidi umruhusu aende mbele. Watoto ni bora kuliko mke. Kiongozi katika familia ni mwanaume, lazima uwe na maamuzi magumu inapobidi.
 

samahani hapo kwenye red ulimaanisha nini vile???/
 
kaka paulss nakuomba uwaombe hawa wakupe mchango wao wahawawatu maana ni wamuhimu sana gfsonwin na Mtambuzi wanauzoefu kwenye hiyo secta sijaona michango yao hapa nafikiri wataweka conclusion nzuri
 
Ungekua wewe ndio mke wa ndugu yetu huyu ungechuka uamuzi gani?
 
Unafikiri kumwambia akaombe msamha kwa mkwe wake si ushauri? au ulitaka nisemaje hapo zaidi ya kukemea tabia za kizinzi zifanywazo na wana Ndoa?

si ajabu hata wewe mzinzi sema tu hayajakukuta, mtu ana tatizo badala ya kujaribu kutatua tatizo mambo yakiwa poa then unaweza kumkemea, sasa wewe eti wakati anafanya uzinzi alikuwa hajui...jaribu kufikiri kama yangekuwa yamekupata wewe
 
Hiyo furaha ya familia yako unayojaribu kuiprotect siyo genuine furaha. Iko kwa sababu kuna mambo mkeo hayajui.
Has it ever occur to you that you may be happy and trust your wife but there is something she isn't telling you?
Be a man and face your mess with confidence, we all have sinned and fall short of God's glory. Confess your sins and walk with true happiness...Ukishaona extent ya ulichokifanya ndo utaona madhara ya hit and run na pia utatuletea ushuhuda ili wenye tabia kama hizo waache.

1) Just remember, Utapata credit nyingi toka kwa mkeo kama wewe ndio utamwambia na si ajue vinginevyo!
2) U owe the mother of the twins to go and be acknowledged by her people-Ili warudishe japo sehemu ya heshima yake iliyoondoka kwa kuleta watoto wakati hana mawasiliano na baba yao (assume dada yako ndo huyo wewe ungejisikiaje?)

3) Hebu wafikirie na wengine kwenye maamuzi please (Mkeo, wanao na huyo mdada)
4) kama wazazi wako wamekulea na wewe ujue kwamba wanao mapacha wanastahili uwepo wako katika malezi yao!
 
Mmmmmh Fainali UEFA hii..

Hii ni zaidi ya uefa, hii ni playoff series ya NBA mechi 7 za marudiano home and away, maana hakuna kubahatisha kwenye msala kama huu lazima mshindi apatikane game 7
 
si ajabu hata wewe mzinzi sema tu hayajakukuta, mtu ana tatizo badala ya kujaribu kutatua tatizo mambo yakiwa poa then unaweza kumkemea, sasa wewe eti wakati anafanya uzinzi alikuwa hajui...jaribu kufikiri kama yangekuwa yamekupata wewe
<br>
<br>Hata mimi ni mwanaume na nimeoa na mke pia lakini siwezi kutetea hili. Haya ndio yanasababisha watoto wa mitaani na hata magonjwa kwanini tusiwewaaminifu ili tusivuruge ndoa zetu? Hapo iwe isiwe mke wake lazima atajua kama si leo kesho ataficha mpaka lini? ujinga wa leo ni maafa ya kesho
 
Nimependa uchambuzi na ushauri wa snowhite sioni alichoacha!

I hope cheaters wengine watajifunza from ur mess.
 
Last edited by a moderator:

Hongera kaka kwa kupata mapacha uwezi jua ndio bahati yako,Tafuta mtu wa familia mwenye kutunza siri mkae nae muonge jinsi gani yakujitambulisha kule an kuwaeleza kama una mke na watoto pia utawatunza watoto wako wote kadri ya uwezo wako,utalipishwa faini za kidizaini mambo yataisha baada ya mda utalileta home ilo jambo kwa utaratibu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…