Kipaji Halisi
JF-Expert Member
- Jan 4, 2012
- 2,280
- 1,363
...hahahahahaha..endelea Loya...nawaachia vijana sie wazee tushamaliza mambo yetu..kwema lkn zatoka wp. RuttashobolwaAsante kwa kukiri umechoka!
Basi ndug kipaji halisi waache vijana wenye nguvu waendelee!
...hahahahahaha..endelea Loya...nawaachia vijana sie wazee tushamaliza mambo yetu..kwema lkn zatoka wp. Ruttashobolwa
Me mzima sana aisee!hayo mambo waachie wenye nguvu bhana na una kipaji halisi lakini si cha kutu Suprise
Message sent!!!!!!
Loh . . . umeniwahi kujibu!And derivered!!!
Evely salt habari yako? Huu mtaa hawajambo?
Me mzima sana aisee!hayo mambo waachie wenye nguvu bhana na una kipaji halisi lakini si cha kutu Suprise
...............unayaskia maumivu makali kupita kiasi,...... maumivu si mzaha........
pouwaaa mzima wewe..Mambo?miss u
replay...Message sent!!!!!!