..Najutaaa.

Kipaji Halisi

JF-Expert Member
Joined
Jan 4, 2012
Posts
2,280
Reaction score
1,363
ni kinda langu rangi lenye rangi ya chungwa
viungo vyake na mwendo vinanichosha ..nachoka kabisaaa

nashindwa nyumbani kwao wamezingira ukali..nachoka kabisaaaaaaa
 
Asante kwa kukiri umechoka!
Basi ndug kipaji halisi waache vijana wenye nguvu waendelee!
 
Last edited by a moderator:
...............unayaskia maumivu makali kupita kiasi,...... maumivu si mzaha........
 
...............unayaskia maumivu makali kupita kiasi,...... maumivu si mzaha........

mambo vp jamaa yangu ,maumivu ya nini tena? Wewe si unapenda kudonoa donoa tu? Kama vp tangaza nia masela tupitishe daftari na bakuli mtaani .
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…