Ringomaniac
Member
- Nov 1, 2010
- 10
- 0
:A S cry: I wish ningekuwa naye nimkumbatie coz I think she needs me right now.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Huyo nakaaya kazoea kudanganywa. Jamaa wa mkataba wa sony alikula akapiga chini. Ccm nao wamekula na watampiga chini. Wasanii na mashabiki wake nao wamtose akafie mbele
Najaribu kuwaza Nakaaya Sumari atakuwa na hali gani kwa sasa, hasa baada ya kuanza kushuhudia kwa macho yake maana halisi ya Peoples Power, nakushuhudia mabesti zake almost wote aliowatelekeza wakiingia mjengoni!!
Si hivyo tu, lakini pia anavyoshuhudia baba yake Jeremiah Sumari akipelekwa puta na kijana mdogo wa miaka 24 mwanafunzi wa chuo kikuu huko Arumeru Magharibi.
Namhurumia sana huyu dada masikini jamani...tujaribu kuwasiliana naye, labda atakuwa anahitaji TOBA!