Donyongijape
JF-Expert Member
- May 28, 2010
- 1,497
- 814
hayuko strong kama unavyofikiri, kafulia hivyo kuona wasanii wenzake wakipata fedha za kampeni kutoka ccm karubunika. Afterall ni mmoja wa machangu wake, alikuwa kapigwa kibuti hivyo kaitumia chdema kujisogeza karibu yake. Hana tofauti na sitta
Nikisoma comments ni kama kuna msiba vilee..WAPIGANAJI Wenzangu wa CHADEMA msijali,mimi binafsi naamini ni JESHI BALAA,So mtu kama nakaaya kuondoka hakuna Ishu ni kama ka-inzi kalikovamia msafara.CHADEMA tusonge mbele..UKIONDOKA wewe unayejisikia hovyo sasa mi ndo ntaumia..VOTE FOR DR SLAA
kalogwa???????????????????????????????????????????????????????????????????????????/
Kumbe utu unao... nilifikiri umefilisika kama jamaa zetu...Huu ni mtizamo wangu tu mkuu Jatropha.
Inatia huruma kuwa Nakaaya kalazimika kula matapishi yake. Siasa ni contact sport na inahitaji moyo wa jiwe. Amejaribu ya kwake na amefikia tamati. Siwezi kumuita malaya maana itakuwa too much for what she's just done.
Kumbe utu unao... nilifikiri umefilisika kama jamaa zetu...
Sasa ni wakati wa CHADEMA kuanza kuangalia upya kila mwanachama anaejiunga ana lengo gani ndani ya chama.
Wengine kama huyu Nakaaya inajulikana wazi walikuwa wanataka nafasi ya uongozi ndani ya chama ili waende bungeni bure.Mimi toka siku ya kwanza kabisa anajiunga nilijua huyu hana lolote akikosa anachotaka atarudi CCM.
Nani asiejua kuwa JK kashapita na Nancy ambae ni dadake?Its obvious kurudi kwake tayari jamaa wameshajua watamchomeka wapi.
SHAME ON YOU Nakaaya.Iskariote mkubwa
Msiwe na wasiwasi. Hata kama woote watarudi CCM. Hata kama Dr. Slaa atarudi CCM.
Ukweli ni kuwa tayari wameshachelewa maana moto umeshawaka na hauzimiki tena.
Watanzania siyo mabwege tena. Kama siyo mwaka huu basi hata mwaka 2015 ataibuka Slaa mwingine.
Wee Dada rudi tu Salama huko CCM ulikotoka. Hakuna baya lililotokea.
Acheni kumuandama kwa maneno na matusi kwani ndiyo DEMOKRASIA.
WATABAAAAAANA ila kuna mwaka WATAACHIA tu na CCM chali...... MLIWA naye hula kidogo.
BREAKING NEWS: Mchukia fisadi arudisha kadi ya ccm na kurudi chadema. Kwa habari zilizotufikia Mchukia fisadi anamsubiri Dr Slaa atakapokuwa anazunguka raundi ya pili ampatie kadi mpya ya chadema.
Mchukia fisadi anasema wizi mkubwa ulio ndani ya chama cha sisi majizi imemfanya ashindwe kukaa katika chama hicho.
Pipooooooooooooooooozi?..................
Nakaaya Sumari amerudisha kadi ya Chadema jioni ya leo na kumkabidhi JK kwenye mkutano wake ulio fanyika leo mkoani Arusha, JK amempongeza sana kwa kitendo hicho na kumwambia karibu mama CCM ndicho chama pekee Tanzania.
Huyu binti ana busara sana kuliko wengi hapa JF. Amefikiria akagundua