Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mweeehh, sasa yamemkuta.kapewa lifti anataka apige na honi,washamshitukia,komaa na music binti hii ndio TZ
haswaaa umepatia tena hakuwa mtu wa siasa kivileWala hana hadhi ya kujadiriwa hapa.
Mtego wa noti, asante, signature yako nzuri sana.yeye wamemfanya kama zile karatasi wanazotymia akina dada wanapokuwa safari za anga. wakishatumia wanatupa na hawataki tena zionekane hizo karatasi inagwa wakati zaikfanya kazi zilionekana za maana.....huyo ndiyo nakaaya...wamemtumia sasa it is ova!!!!!
kumbe mlimuhonga sio? si mnadai cdm ni chama cha waadilifu? mbona mnatembeza rushwa sioni unafiki wake ndo maana kakiri hana passion na siasa mlimrubuni na ccm wakamrubuni pia so ngoma droohanalolote mnafiki mkubwa huyo, Lema alimwiingiza chadema na kumpatia kazi pamoja na gari la kutembelea iliaweze kukijenga chama kwakupitia akina mama na wale dada wa mjini. kiukweli alifanikiwa kwa kiasi kikubwa, ila aliingizwa tamaa na kuahidiwa kupewa nafasi kubwa katika chama cha chukua chako mapema(ccm) akaacha ukombozi wa kweli (chadema) na kukimbilia huko.
waliposhindwa uchaguzi wa ubunge naye shughuli yake ikaishia pale pale, mpaka sasa kila apitapo arachuga huzomewa na kuitwa msaliti wa ukombozi.
kumbe mlimuhonga sio? si mnadai cdm ni chama cha waadilifu? mbona mnatembeza rushwa sioni unafiki wake ndo maana kakiri hana passion na siasa mlimrubuni na ccm wakamrubuni pia so ngoma droo