Elections 2010 Nakaaya Sumari Kugombea Ubunge CHADEMA

Status
Not open for further replies.

Regia Mtema

R I P
Joined
Nov 21, 2009
Posts
2,970
Reaction score
866


Hivi karibuni Msanii Nakaaya Sumari aliamua kujiunga na Chama Cha Demokrasia na Maendeleo(CHADEMA) kwa lengo la kufanya siasa.Pamoja nakujiunga na chama hicho lakini Nakaaya anatarajia kugombea Ubunge kwa lengo la kuwatumikia wananchi kwa njia ya siasa..Nadhani baadhi yetu tumeshamsikia akieleza nia yake hii..Kwa sasa yuko huko Arusha anajipanga namna ya kupambana..
 
Kila la kheri Nakaaya I hope atapata suport nzuri kutoka kwa Wasanii wenzake
 
Kila lililo heri Nakaaya!...mie nampendaga nina hamu ashinde!!!
 
Hebu iweke vizuri!! Kugombea ubunge CHADEMA ina maana wa viti maalumu?
 
hongera nakaaya.wewe si tu mwanamke wa shoka bali nakuita kidume,sio mwoga ,unauchungu na nchi,si mnafiki.makofi kwako.wanafiki walivalishwa tisheti, kwanza ni waoga maisha pilui nja kali ngoja niwataje,mwana fa,chidi benz,prop j,jo si makini,diamond,nawooote waliokuwa nao.walikuwa wa kwanza kupiga vibao vya kuiponda serikali ya ccm kwamba inashindwa kutunga sheria ya haki miliki ,hawafaidi jasho lao leo sheria haijatungwa wameshavaa tisheti wanafiki wakubwa,njaa kali vigeugeu wakubwa ,wasaliti wa vijana,wachumia tumbo kama kuku akishibishwa kidogo huvuruga kila kitu.Nakaaya tafuta jimbo ukipata nitaarifu kupitia hapa hapa jf nitakupa suport[wana jf mumtarifu kamasi msomaji wa forum hii]huwezi kujiita mwana hip hop kama si mgumu.nawashauri chd,profesa,na jo makini wakaimbe taarabu ndiko unaweza kuimba usichomaanisha.hip hop is a real thing.
 

Mkuu mbona umekasirika hivyo?daa pole sana kwa kweli inatia uchungu sana..
 

Kwani mwanamke hawezi kuwa na sifa hizo?acha kudharaulisha wanawake.
 
kila laheri, lakini ni ubunge upi wajimbo au viti maalumu
 
Anagombea kupitia jimbo gani?Nje ya Arusha Mjini ni ngumu,wakisha mkubali mtu ni ngumu kuwabalisha tofauti na Arusha Mjini ukijaribu kuangalia historia yao wamekuwa wakibadilishaga wabunge mara kwa mara,kama Felix Mrema anagombea tena ni kama anamsukuma mlevi vile.
 
Si mbaya ni mwananchi mwenzetu acha atumie haki yake ya kikatiba. Me naogopa hawa jamaa wasijemtengenezea ajali!
 
waungwana wekeni na picha yake bac na sisi wengine tumjue
 
Hongera Dada kwa hatua hiyo; ile single yako ya Mr.Politician. Angalia tu endapo utazama mgengoni; watu wasikutolee mS.poLiTicAn
 
Hongera sana Nakaaya Hapa JF nitakupa full support, nakaaya go go goooo God will bless you
 
Jinsi ninavyompenda huyu dada ni mungu pekee ndie anajua ..zaidi namuombea mafanikio mema na baraka zote ziwe nae katika kipindi hiki cha harakati..
All the best Nakaaya.
 
good luck gal !she doesn't afraid of challenges that's why i like her a lot, and btw shes down to earth. you go gal.
 
Status
Not open for further replies.
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…