Mhina Martin
Senior Member
- Apr 3, 2017
- 144
- 189
Ahsante mkuu ngoja tupambane nawoPole mkuu,panya msimu huu wamekuwa changamoto haswaa.
Wengi waliokutwa na janga la panya hakuna kitu waliweza fanya kwa kweli.
Sawa Mkuu ngoja nifanye hivyo niwagee sumu angalau wapunguze Kasi japo wakiwahi kunywa maji sumu haifanyi kazi TenaWapunguze kwa kuwatega kwa mitego ya panya ya kawaida, sumu na gundi. Washirikishe na kuwahamasisha na wenzako, kila mtu akiwatega watapungua.
Hao jamaa ni janga kwa wakulima.
Fuga pakaHabari Bado napambana Na harakati za mpunga kwa sasa shamba langu La mpunga ushavuka Siku 50 ila nimechunguza ndani ya ndiwa zangu panya wameanza kukata ingawa maji yamejaa sasa wasije wakanipa hasara na ulipofikia nishapiga UREA, wazoefu waliokutana na changamoto Kama Hizo naomba tushare hapa Nini nifanye nikomeshe hawa panya.
Picha zaida za mpunga Hizo
View attachment 3047306View attachment 3047308View attachment 3047310View attachment 3047311View attachment 3047312View attachment 3047313View attachment 3047314View attachment 3047316
View attachment 3047320
Tanga KorogweNi wapi huko wanalima mpunga mwezi huu wa 7?
Paka shambani hawakaiFuga paka
Ahsante ngoja niifatilieIngia yuu tubu mitego dizaini kibao ya kuua panya,usiwe sumu ya panya karibu na mpunga,utakuja lia siku ya sherehe.