Nakabilianaje na changamoto ya panya kwenye zao la mpunga

Nakabilianaje na changamoto ya panya kwenye zao la mpunga

Mhina Martin

Senior Member
Joined
Apr 3, 2017
Posts
144
Reaction score
189
Habari Bado napambana Na harakati za mpunga kwa sasa shamba langu La mpunga ushavuka Siku 50 ila nimechunguza ndani ya ndiwa zangu panya wameanza kukata ingawa maji yamejaa sasa wasije wakanipa hasara na ulipofikia nishapiga UREA, wazoefu waliokutana na changamoto Kama Hizo naomba tushare hapa Nini nifanye nikomeshe hawa panya.

Picha zaida za mpunga Hizo

IMG_20240720_162743.jpg
IMG_20240720_162711.jpg
IMG_20240720_162730.jpg
IMG_20240720_162610.jpg
IMG_20240720_162418.jpg
IMG_20240720_162358.jpg
IMG_20240720_162454.jpg
IMG_20240720_162503.jpg

 
Wapunguze kwa kuwatega kwa mitego ya panya ya kawaida, sumu na gundi. Washirikishe na kuwahamasisha na wenzako, kila mtu akiwatega watapungua.

Hao jamaa ni janga kwa wakulima.
Sawa Mkuu ngoja nifanye hivyo niwagee sumu angalau wapunguze Kasi japo wakiwahi kunywa maji sumu haifanyi kazi Tena
 
Habari Bado napambana Na harakati za mpunga kwa sasa shamba langu La mpunga ushavuka Siku 50 ila nimechunguza ndani ya ndiwa zangu panya wameanza kukata ingawa maji yamejaa sasa wasije wakanipa hasara na ulipofikia nishapiga UREA, wazoefu waliokutana na changamoto Kama Hizo naomba tushare hapa Nini nifanye nikomeshe hawa panya.

Picha zaida za mpunga Hizo

View attachment 3047306View attachment 3047308View attachment 3047310View attachment 3047311View attachment 3047312View attachment 3047313View attachment 3047314View attachment 3047316
View attachment 3047320
Fuga paka
 
Back
Top Bottom