Mambo ni ajee
Basi bwana Leo tarehe 23 ni birthday yangu... nijitakie heri ya siku ya kuzaliwa....
Huu mwaka kwangu ulikuwa wa majonzi na kilio sana....kifupi nilipitia mazito so nilikuwa na sababu zote za kumshukuru Mungu lakini pia kujipatia furaha...
Jana nilijitoa out nikapata wine za kutosha na nyama nyama na Leo nimejikatia keki japo mtengeneza keki ameniangusha kwa kiasi flani...
Mda huu niko tayari kupokea zawadi za kila aina kutoka kwenu familia yangu ya JF.
View attachment 2365955
Mambo ni ajee
Basi bwana Leo tarehe 23 ni birthday yangu... nijitakie heri ya siku ya kuzaliwa....
Huu mwaka kwangu ulikuwa wa majonzi na kilio sana....kifupi nilipitia mazito so nilikuwa na sababu zote za kumshukuru Mungu lakini pia kujipatia furaha...
Jana nilijitoa out nikapata wine za kutosha na nyama nyama na Leo nimejikatia keki japo mtengeneza keki ameniangusha kwa kiasi flani...
Mda huu niko tayari kupokea zawadi za kila aina kutoka kwenu familia yangu ya JF.
View attachment 2365955
Ilitakiwa picha yako ndo inene lakini kwa haya maneno naomba tu nikutakie heri ya nanenane day..😂Dah mkuu una nini lakiniii
Sambaza upendo na sio chuki....
I bless u