Tindikali
JF-Expert Member
- Mar 26, 2010
- 2,086
- 2,823
hence may led to the increase or decrease the Contract price
Some legal facts takes both civil and criminal
Who was the client in the Agreement same would have been in the supplemantary one?
same as actual amount of money to be spended as capital expenditure
The variation is in Law of Contract permitted
the motive behind initiating variation of works outwith authority to do so,
transaction on the same project was of worth to be considered
and may be sanction it with the normal operations
Hivi maneno "spended" au "outwith" maana zake nini hasa? Eenh?
Tuchambue mahakimu, lakini tungeanza na wewe kwanza, Mwanasheria wetu hapa.
Uliyoandika hapo juu ni kielelezo madhubuti kabisa kwamba kwa kweli Watanzania kuna fani bado hatujazimudu. Wanasheria wanaitana "Ndugu Waliosoma," mwanasheria unatakiwa uwe makini na lugha unayotumia. Wewe huna haki ya kuwachambua mahakimu wa kesi hii manake hata kuandika sentensi iliyonyooka unapata tabu, hujamudu medani ya mafunzo yako. Taka, usitake, kasirika.
Haya, tuendelee na uchambuzi na kudadavua hukumu. Naomba mamlaka, au chanzo chako kuwa Wazee wa Baraza ni lazima wafuatwe kwenye Mahakama ya Mwanzo na si lazima Mahakama Kuu.