Nakaribia kubaki skeleton, nifanyeje kurudisha mwili wangu?

Simple tu punguza ngono. Vijana wengi wa kiume hawajua kuwa kugongana sana kunakausha ....

Punguza ngono alaf relax, mambo yenyewe yataenda....
[emoji23][emoji23][emoji23]Asante mkuu japo sipo addicted sana kwenye hivyo vitu
 
Kula vyakula vya wanga kwa wingi

Kula vyakula vya sukari kwa wingi

Punguza mazoezi

Usilale sana, kupumzika vya kutosha kunasababisha weight kupungua (Kuna watakaoguna hapa)
Kuna mmoja alinambia na kuoga kila siku kuna punguza uzito. Je hili nalo lipoje naomba ufafanuzi wako Tafadhari
 
Embu kula mbuzi katoliki na ndizi 3 (ya kuchoma iko poa zaidi) na bia deile, then after 2 month ukuje hapa
Mbona bia situmii kiongozi, hakuna mbadala wowote naweza tumia zaidi ya gambe?
 
Kuna mmoja alinambia na kuoga kila siku kuna punguza uzito. Je hili nalo lipoje naomba ufafanuzi wako Tafadhari
Hamna mahusiano kaka

Kuna makabila primitive Tanzania, wanaishi maporini, sitataja majina wengi wao hususani vijana ni wembamba na hao kuoga kwao ni hiari

Wewe komaa na ushauri huo hapo juu

Japo, watu wengi wanataka kupungua mwili kwako naona ipo kinyume
 
Ooh! Nimekupata kaka! Shukrani
 
Watu tunatofautiana sana. Wengine tumejaribu kupunguza miili hadi tumekata tamaa imeshindikana wengine wanataka kuongezeka
 
Hujaandika umepungua uzito kwa kiasi gani ( umelose kg ngapi?)
Ila yote kwa yote, nenda hospitali nzuri tu ukachekiwe.
 
Mbona bia situmii kiongozi, hakuna mbadala wowote naweza tumia zaidi ya gambe?
Mkuu kwanza pole kwa changamoto hio. Kuna dawa moja ni nzuri sana kwa kuleta hamu ya chakula. Sijajua upo mkoa gani maana ni adimu kidogo kuipata hasa mikoani. Hii dawa inaitwa APETAMIN SYRUP. Bei yake imesimama. Kwa Dar es Salaam niliinunua 60,000.
 

Attachments

  • images.jpeg
    22.7 KB · Views: 24
Usiforce sana kunenepa kiongozi elewa tu kwamba kila kitu kinakuja kwa wakati baada ya kupitia mambo ya fulani! Kikubwa tu kwa sasa wewe kuwa na amani ya moyo na uridhike na ulichonacho. My brother alikuwa mwembamba sana pesa ya kula na kufanya chochote kile kizuri alikuwa nayo lakini hakuwahi kunenepa mpaka alikata tamaa ila baada ya kuoa na kuingia kwenye ndoa sasahv amekuwa sio mwenzetu tena kanenepa na ka kitambi kametokea!! Hata mimi natarajia nije ninenepe one day niwe na mwili fulani wa kishua kwa sasa nimeshindwa maana napitia changamoto nyingi!!!!!
 
Siku ukiacha kutojali kuhusu wembamba wako na kuacha kabisa kujihangaisha ili unenepe basi ndio hapo utaanza kunenepa.
 
Usiamini kitambi ni afya!!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…