RIP Hoyanga
Husni fanya umtumie Hoyanga kale kamkweche chako ulichopaki pale uwani...mafuta mi ntakuwa namwekea...tutamkosa jamani...lol..Kilomita mbili kwenda na kurudi au?
Pole sana ndugu.
RIP Hoyanga
<br />Husni fanya umtumie Hoyanga kale kamkweche chako ulichopaki pale uwani...mafuta mi ntakuwa namwekea...tutamkosa jamani...lol..
<br />RIP Hoyanga
<br />endelea kutembea mwili utazoea, usipozoea RIP!
Hahaha! Mi mwenyewe natembea klometa 4 kwenda na 4 kurudi, ntamwezea wapi Hoyanga?...nlikuwa na hasira za mgao wa umeme bt huez amin coment za hili sred zimenivunja mbavu..lol..hiyo heading tuu mie hoii.. Amejikatia tamaa mpaka huruma... Madaktari na wajitokeze wamwokoe huyu mtu...<br />
<br />
hahahaha! Aisee huyo hoyanga tushamkosa,... Kamkweche ameazima kloro labda ujitolee kumbeba mgongoni.
<br />Hahaha! Mi mwenyewe natembea klometa 4 kwenda na 4 kurudi, ntamwezea wapi Hoyanga?...nlikuwa na hasira za mgao wa umeme bt huez amin coment za hili sred zimenivunja mbavu..lol..hiyo heading tuu mie hoii.. Amejikatia tamaa mpaka huruma... Madaktari na wajitokeze wamwokoe huyu mtu...