Nakata tamaa ya kuishi! msaada tafadhari...


Kula mastafeli na matopetope kwa wingi. Pia saga kabeji mbichi iwe juisi unywe glasi moja mara 3 kwa siku, tumia kwa mwezi mfululizo utashangaa utakachokiona.
Epuka mafuta ya ng'ombe, chumvi na vitu vya kiwandani na upendelee kula matunda na mboga mbichi hasa nyanya.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…