Frank Wanjiru
JF-Expert Member
- Apr 12, 2012
- 22,719
- 40,739
Na wewe tingisha tako kama unaona wivuNilichojifunza leo ni sababu ya Mayele kutingisha manyonyo kila akifunga.
Wivu unatoka wapi? Mnawalinda hao wachezaji kama waume zenu. Mtu akiwataja tu hata kama si kwa ubaya mnafura. Mahaba yatawaua kenge nyie.Na wewe tingisha tako kama unaona wivu
utajiju,anzisha ligi yako uweke vigezo vyakoAisee utoaji wa tuzo una changamoto sana, nakataa goli alilofunga Mayele na kutwaa tuzo sio bora msimu huu, kusema lile goli alilofunga Maguri ni baya? Lile goli la Ntibazonkiza akiwa Geita ni baya? Goli alilofunga Sakho vs Singida ni baya? Je goli la Ilanfya lililoshindanishwa na la Mayele limezidiwa kiwango na lile la Mayele, hapana, hapana, hapana.
Ila nakubali 100% kuwa Mayele anastahili kuwa mchezaji bora msimu huu.
Mweee aya basi tukutane msimu ujao mfunge mengi zaidiMeeeengiiiiii
Lile bao Bora la wakati uleeeeLipi hilo ?? [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Lipii?? [emoji23][emoji23][emoji23]Lile bao Bora la wakati uleeee
asa umesema yote na bado hata wewe hujamtaja aliyefunga goli bora ni yupiAisee utoaji wa tuzo una changamoto sana, nakataa goli alilofunga Mayele na kutwaa tuzo sio bora msimu huu, kusema lile goli alilofunga Maguri ni baya? Lile goli la Ntibazonkiza akiwa Geita ni baya? Goli alilofunga Sakho vs Singida ni baya? Je goli la Ilanfya lililoshindanishwa na la Mayele limezidiwa kiwango na lile la Mayele, hapana, hapana, hapana.
Ila nakubali 100% kuwa Mayele anastahili kuwa mchezaji bora msimu huu.
Wewe unaongea kwa mtizamo wako na mtizamo wako sio lazima uaksi mitizamo ya wengine.Aisee utoaji wa tuzo una changamoto sana, nakataa goli alilofunga Mayele na kutwaa tuzo sio bora msimu huu, kusema lile goli alilofunga Maguri ni baya? Lile goli la Ntibazonkiza akiwa Geita ni baya? Goli alilofunga Sakho vs Singida ni baya? Je goli la Ilanfya lililoshindanishwa na la Mayele limezidiwa kiwango na lile la Mayele, hapana, hapana, hapana.
Ila nakubali 100% kuwa Mayele anastahili kuwa mchezaji bora msimu huu.
Saidoo hakustahili tuzo ya kitendo cha uungwana wamempa tu Sakho ndiye alipaswa apewe.
Wanachuki tuuHata goli bora lilipaswa kuwa la Sakho dhidi ya SBS. Lile goli linafanana sana na alilopatia tuzo ya CAF msimu uliopit
Goli la Sakho hata ukiliangalia mara kumi hauchoki kuliangalia.Wanachuki tuu