Nakataa goli la Mayele sio bora msimu huu, tusidanganyane

Nakataa goli la Mayele sio bora msimu huu, tusidanganyane

Aisee utoaji wa tuzo una changamoto sana, nakataa goli alilofunga Mayele na kutwaa tuzo sio bora msimu huu, kusema lile goli alilofunga Maguri ni baya? Lile goli la Ntibazonkiza akiwa Geita ni baya? Goli alilofunga Sakho vs Singida ni baya? Je goli la Ilanfya lililoshindanishwa na la Mayele limezidiwa kiwango na lile la Mayele, hapana, hapana, hapana.

Ila nakubali 100% kuwa Mayele anastahili kuwa mchezaji bora msimu huu.
utajiju,anzisha ligi yako uweke vigezo vyako
 
Saidoo hakustahili tuzo ya kitendo cha uungwana wamempa tu Sakho ndiye alipaswa apewe.
 
Aisee utoaji wa tuzo una changamoto sana, nakataa goli alilofunga Mayele na kutwaa tuzo sio bora msimu huu, kusema lile goli alilofunga Maguri ni baya? Lile goli la Ntibazonkiza akiwa Geita ni baya? Goli alilofunga Sakho vs Singida ni baya? Je goli la Ilanfya lililoshindanishwa na la Mayele limezidiwa kiwango na lile la Mayele, hapana, hapana, hapana.

Ila nakubali 100% kuwa Mayele anastahili kuwa mchezaji bora msimu huu.
asa umesema yote na bado hata wewe hujamtaja aliyefunga goli bora ni yupi
 
Aisee utoaji wa tuzo una changamoto sana, nakataa goli alilofunga Mayele na kutwaa tuzo sio bora msimu huu, kusema lile goli alilofunga Maguri ni baya? Lile goli la Ntibazonkiza akiwa Geita ni baya? Goli alilofunga Sakho vs Singida ni baya? Je goli la Ilanfya lililoshindanishwa na la Mayele limezidiwa kiwango na lile la Mayele, hapana, hapana, hapana.

Ila nakubali 100% kuwa Mayele anastahili kuwa mchezaji bora msimu huu.
Wewe unaongea kwa mtizamo wako na mtizamo wako sio lazima uaksi mitizamo ya wengine.
 
Saidoo hakustahili tuzo ya kitendo cha uungwana wamempa tu Sakho ndiye alipaswa apewe.

Hata goli bora lilipaswa kuwa la Sakho dhidi ya SBS. Lile goli linafanana sana na alilopatia tuzo ya CAF msimu uliopita.
 
Back
Top Bottom