Nakaya kurudi CCM ni sawa na kula matapishi

Nakaya kurudi CCM ni sawa na kula matapishi

Mdogo wangu Nakaya, nimeangalia orodha ya wabunge wa viti maalumu wa CCM humo, katika orodha ya wabunge wa viti maalumu wa CHADEMA humo. Mkakati wako wa kuhama toka CHADEMA nilifikiria waenda kuwa katika orodha ya viti maalumu vya CCM. Basi ngoja tukusubiri katika vile viti KUMI vya Mheshimiwa Rais. Nakutakia kila jema katika maisha yako ya kisiasa.

Duu mama mdogo hilo lemba ulilovaaa kwenye avatar kibokoooo. umemtakia kilala kheri nakaya
 
Mdogo wangu Nakaya, nimeangalia orodha ya wabunge wa viti maalumu wa CCM humo, katika orodha ya wabunge wa viti maalumu wa CHADEMA humo. Mkakati wako wa kuhama toka CHADEMA nilifikiria waenda kuwa katika orodha ya viti maalumu vya CCM. Basi ngoja tukusubiri katika vile viti KUMI vya Mheshimiwa Rais. Nakutakia kila jema katika maisha yako ya kisiasa.

Mama mdogo Avatar yako imenikumbusha mama huyo wa Kianaigeria aliyewahi kuwa waziri wa fedha na sasa ni ofisa wa cheo cha juu katika BENKI YA DUNIA. Mama huyu alikuwepo na nilimuona akikata issues mbalimbali wakati wa mkutano wa " Successful Partnerships for african's Growth Challenge" ulioandaliwa na IMF kwa kushirikiana na Serikali ya Tanzania uliofanyika tarehe 10-11 March 2009 hapo kwenye ukumbi wa mikutano wa BOT. Naamini na wewe ni kama mama huyu kwa kukata issues mbalimbali.
 
Back
Top Bottom