Nakaya kurudi CCM ni sawa na kula matapishi


Duu mama mdogo hilo lemba ulilovaaa kwenye avatar kibokoooo. umemtakia kilala kheri nakaya
 

Mama mdogo Avatar yako imenikumbusha mama huyo wa Kianaigeria aliyewahi kuwa waziri wa fedha na sasa ni ofisa wa cheo cha juu katika BENKI YA DUNIA. Mama huyu alikuwepo na nilimuona akikata issues mbalimbali wakati wa mkutano wa " Successful Partnerships for african's Growth Challenge" ulioandaliwa na IMF kwa kushirikiana na Serikali ya Tanzania uliofanyika tarehe 10-11 March 2009 hapo kwenye ukumbi wa mikutano wa BOT. Naamini na wewe ni kama mama huyu kwa kukata issues mbalimbali.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…