Nakereka sana na huu msemo ''Wanaume wa Dar''

Wanaume wa dar wananiudhi kulambalamba midomo,Wakiingia mliman City wanaongea kingereza cha kuombea maji,
 
wanaume wa Dar wanaongoza kutumia super shaft na viagra pia kuongeza uume maana Wana vibamia ni legelege sana aisee
Hamna we umekosa bahati ashakum si matusi ntafute ka hupendag vibamia....
 
Sifa ya wanaume wa daslam uwongo upo kwenye damu pmj n kujisifia
 
Chukulia kama hujawahi sikia ndo njia ya kuepuka maana hao wanaotamka neno hilo nikwajili ya kukera wengine sio kwajili yakufurahisha epuka kumuonyesha adui yako udhaifu wako
 
Wanaume wa Dar wanavaa shanga kiunoni,wengine wanasafisha kucha saluni,mie sipendi,Nabaki kwetu usheru shinyanga
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…