Nakereka sana na huu msemo ''Wanaume wa Dar''

Sasa wewe hujui kwamba DAR ndio Tanzania mikoani ni wasindikizaji tu
Khaa we kweli wa Daslam...yaani unajidanganya ukiwa DAR tu basi maisha mazuri....sasa nani anasindikiza mwenzio aliyepo mkoani ndani ya mjengo na usafiri wake au wewe ulieopo DAR kwenye apartment ya kupanga na asubuhi unasubiria BUS za MWENDOKASI?!
 
Na wanaochonga ilo neno wapo kanda ya ziwa roho zina wauma sababu wake na mademu zao wakiwatoroka hukimbilia Dar vidume tuna jitafunia swala kutoka porini kiulaini wao wanajisifia KULA UGALI MKUBWA DAGAA si tunakulaga dada zao tu.
 
ila mimi nawashangaa pia wanao tusema nadhani wangewatenga wenye udhaifu wanaomaanisha maana mimi naishi dar ila sina sifa wanazo sema wanaume wa dar wanazo nipo dar lakini nipo kama bushmen .... siwezi tu kujisifu ila jirani zangu wangekuwepo wangekuwa mashahidi
 
wanaume wa "dalisalama" role model wao ni Hemed PhD, ray Vincent kigosi baby face,Ben kinyaiya bila kumsahau Bob junior kiuno rais wa masharobaro
 
Wanaume wa Dar utawakuta Sinza,Segerea ,mikocheni na Masaki,yaani wao legelege tu
 
Mwanaume anaishi dar lazima uwe mwanaharakati...usione jioni watu wanakaa kwenye viti virefu...toka alfajiri wanatafuta...dar mpk haja unalipia...hata ukitaka kupiga dem mkoani fasta tu kichakani...jaribu dar uone...kwa kifupi maisha ya dar yapo kasi sana hao walioshindwa maisha ya dar ndo kutwa kupiga vijembe...dar mpk mavi yanauzwa
 
Kulalamika ni sifa moja wapo ya "Wanume wa Dar", mwanaume mzima unapanga foleni ya kununua chipsi na watoto wa kike mwisho wa siku wote walainiiiii.....!! Wakija PWANYA ROAD mnakimbilia uvunguni jiji zima!!

Aah aah mbona tuko fiti mkuu! Gym za kutosha na wote tume hakiki silaha zetu kuanzia mkuu wa kaya, kiujumla tuko vizuri, wadogo zetu kama Diamond na wengine wengi wana Six pack za nguvu
 
dar kuna sehemu wezi wanakaba mchana mchana. Na watu hata hawachukui hatua.
ukipanda dala dala zao kumejaa wez tupu, wanaweza kukuibia na watu wanakuangalia tu. Hawana time na ww kbsa. Hebu jaribu huku mwanza hata km ukiiba pipi tu, tunakuchoma moto hatuna mchezo. Huku ukimkuta mwiz anapigwa usijaribu kumtetea vinginevyo na ww utachomwa moto
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…