Msichoke
JF-Expert Member
- Jan 13, 2011
- 569
- 400
Khaa we kweli wa Daslam...yaani unajidanganya ukiwa DAR tu basi maisha mazuri....sasa nani anasindikiza mwenzio aliyepo mkoani ndani ya mjengo na usafiri wake au wewe ulieopo DAR kwenye apartment ya kupanga na asubuhi unasubiria BUS za MWENDOKASI?!Sasa wewe hujui kwamba DAR ndio Tanzania mikoani ni wasindikizaji tu