Sambusa kavu
JF-Expert Member
- May 4, 2015
- 806
- 1,296
Huwezi amini hii kitu inaenda kuwa serious sasa..jana ndani ya daladala nilimsikia konda akimwambia abiria mmoja''jishike kwa mkono mmoja,acha kulalamika unabanwa sana,unakuwa kama mwanaume wa dar bwana"..aiseee nilicheka kwa sauti mpaka jamaa akanimaindi...