Nakerwa na Hotuba za Viongozi wa Serikali kwa kutumia muda mwingi kulitajataja jina la Samia wakati kuna vitu vya msingi vya kusemea

Nakerwa na Hotuba za Viongozi wa Serikali kwa kutumia muda mwingi kulitajataja jina la Samia wakati kuna vitu vya msingi vya kusemea

kibori nangai

JF-Expert Member
Joined
Jan 14, 2015
Posts
1,430
Reaction score
2,130
Wanajamvii Bwana yesu asifiwe!
Leo ni jumapili siku ya ibada sisi KKKT ni siku ya watoto wetuu (ni sikukuu yao) moja vitu vinanikereketa moyo wanguu ni hawa viongozi wa serikali hii inayojiita awamu ya sita wakati kiuhalisia ni ya Awamu ya tano ni kutumia muda mwingi kusema Samia, kila mahali Samia!

Tunajua fika yeye ndio aliyekuteua na Kiongozi wa serikali ni yeye kwa sasa. Hata dunia inajuaa yeye ndio mrithi wa kiti cha urais baada ya aliyekuwa kutwaliwa katoka maisha haya.

Sasa kwanini kutumia maneno yenye jina lake kwenye hotuba yako, kila ayaa wakati yapo mambo ya msingi ungweza kumuheshimisha aliyekuteua kwa kuzungumzaa?

Pia soma: Kuelekea 2025 - Jina la Dkt. Samia latamkwa mara 40 kwenye Hotuba ya Bajeti ya Serikali

NIWAPE TAARIFA YA KUWA MNAMDHALILISHA HAMPATI TUU MTU WA KUWAAMBIA LKN HUO NDIO UKWELI

Shida ya Viongozi wa Awamu ya Tano wanapenda sanaa kusifiwaa huo ndio ukweli lakini nataka niwaambie muwe creative kukumsifia kitaalamu.

Kutaja Jina lake mara nyingi wala haimuwekii kuzuri mnaonekana vitukoo na kuonekana hamna creative skills (Lower minded).

Najua nitapata upinzani kutoka kwa machawa lkn huu ndio ukweli.
 
Miaka yote hiyo hizo sifa za kila aina anazopewa na kutajwa kila baada ya neno hakuwahi kuzikataa wala kuzikemea isipokuwa jana kwenye mkutano wa Mpitimbi....
Karuka kimanga Du!. 🤓
 
Wanajamvii Bwana yesu asifiwe!
Leo ni jumapili siku ya ibada sisi KKKT ni siku ya watoto wetuu (ni sikukuu yao) moja vitu vinanikereketa moyo wanguu ni hawa viongozi wa serikali hii inayojiita awamu ya sita wakati kiuhalisia ni ya Awamu ya tano ni kutumia muda mwingi kusema Samia, kila mahali Samia!

Tunajua fika yeye ndio aliyekuteua na Kiongozi wa serikali ni yeye kwa sasa. Hata dunia inajuaa yeye ndio mrithi wa kiti cha urais baada ya aliyekuwa kutwaliwa katoka maisha haya.

Sasa kwanini kutumia maneno yenye jina lake kwenye hotuba yako, kila ayaa wakati yapo mambo ya msingi ungweza kumuheshimisha aliyekuteua kwa kuzungumzaa?

Pia soma: Kuelekea 2025 - Jina la Dkt. Samia latamkwa mara 40 kwenye Hotuba ya Bajeti ya Serikali

NIWAPE TAARIFA YA KUWA MNAMDHALILISHA HAMPATI TUU MTU WA KUWAAMBIA LKN HUO NDIO UKWELI

Shida ya Viongozi wa Awamu ya Tano wanapenda sanaa kusifiwaa huo ndio ukweli lakini nataka niwaambie muwe creative kukumsifia kitaalamu.

Kutaja Jina lake mara nyingi wala haimuwekii kuzuri mnaonekana vitukoo na kuonekana hamna creative skills (Lower minded).

Najua nitapata upinzani kutoka kwa machawa lkn huu ndio ukweli.
ukishaona watu uwezo wa kufikliri umeisha hadi wanataja jina la binadamu mwenzao kuliko Mungu ni hatari sana sana , na hii ndio mwanzo wa kuabudu sanamu shenzi taipu.
 
Hilo la kutajwatajwa hata mimi linanikera lakini hilo la kurithi kiti cha urais sikubaliani nalo kwa sababu kiti cha urais hakina urithi,urais siyo mali binafsi ya mtu bali mtu anashika nafasi ya urais kwa mujibu wa katiba kwahiyo haina sijui kumalizia kipindi cha mtu fulani bali mtu akiachia nafasi ya urais kwa sababu yoyote ile basi muda wake unakuwa umeishia hapo.
 
Wanajamvii Bwana yesu asifiwe!
Leo ni jumapili siku ya ibada sisi KKKT ni siku ya watoto wetuu (ni sikukuu yao) moja vitu vinanikereketa moyo wanguu ni hawa viongozi wa serikali hii inayojiita awamu ya sita wakati kiuhalisia ni ya Awamu ya tano ni kutumia muda mwingi kusema Samia, kila mahali Samia!

Tunajua fika yeye ndio aliyekuteua na Kiongozi wa serikali ni yeye kwa sasa. Hata dunia inajuaa yeye ndio mrithi wa kiti cha urais baada ya aliyekuwa kutwaliwa katoka maisha haya.

Sasa kwanini kutumia maneno yenye jina lake kwenye hotuba yako, kila ayaa wakati yapo mambo ya msingi ungweza kumuheshimisha aliyekuteua kwa kuzungumzaa?

Pia soma: Kuelekea 2025 - Jina la Dkt. Samia latamkwa mara 40 kwenye Hotuba ya Bajeti ya Serikali

NIWAPE TAARIFA YA KUWA MNAMDHALILISHA HAMPATI TUU MTU WA KUWAAMBIA LKN HUO NDIO UKWELI

Shida ya Viongozi wa Awamu ya Tano wanapenda sanaa kusifiwaa huo ndio ukweli lakini nataka niwaambie muwe creative kukumsifia kitaalamu.

Kutaja Jina lake mara nyingi wala haimuwekii kuzuri mnaonekana vitukoo na kuonekana hamna creative skills (Lower minded).

Najua nitapata upinzani kutoka kwa machawa lkn huu ndio ukweli.
Ni ujinga. Juzi raisi kawachana wajitokeze kuwa wanajibu hoja, lakini wao wamejikita kumsifia.

Wanatakiwa wajikite kufanya kazi chanya na kujibu hoja za wakosoaji badala ya kumsifia wanadhani ndio kumfurahisha rais.

Lakini tumefika hapa kwa sababu ya mfumo uliotengenezwa huko nyuma, ili mtu apate teuzi ni lazima asifie,l Sasa madhara yake ndio haya sasa.
 
Wanajamvii Bwana yesu asifiwe!
Leo ni jumapili siku ya ibada sisi KKKT ni siku ya watoto wetuu (ni sikukuu yao) moja vitu vinanikereketa moyo wanguu ni hawa viongozi wa serikali hii inayojiita awamu ya sita wakati kiuhalisia ni ya Awamu ya tano ni kutumia muda mwingi kusema Samia, kila mahali Samia!

Tunajua fika yeye ndio aliyekuteua na Kiongozi wa serikali ni yeye kwa sasa. Hata dunia inajuaa yeye ndio mrithi wa kiti cha urais baada ya aliyekuwa kutwaliwa katoka maisha haya.

Sasa kwanini kutumia maneno yenye jina lake kwenye hotuba yako, kila ayaa wakati yapo mambo ya msingi ungweza kumuheshimisha aliyekuteua kwa kuzungumzaa?

Pia soma: Kuelekea 2025 - Jina la Dkt. Samia latamkwa mara 40 kwenye Hotuba ya Bajeti ya Serikali

NIWAPE TAARIFA YA KUWA MNAMDHALILISHA HAMPATI TUU MTU WA KUWAAMBIA LKN HUO NDIO UKWELI

Shida ya Viongozi wa Awamu ya Tano wanapenda sanaa kusifiwaa huo ndio ukweli lakini nataka niwaambie muwe creative kukumsifia kitaalamu.

Kutaja Jina lake mara nyingi wala haimuwekii kuzuri mnaonekana vitukoo na kuonekana hamna creative skills (Lower minded).

Najua nitapata upinzani kutoka kwa machawa lkn huu ndio ukweli.
hawana point lazima waseme masifasia ya hovyo, unakuta anaesifiwa nae anaenjoy... kimsingi muogope sana mtu anae kusifia, ni hatari sana kusifiwa
 
Nawasihii wasaidizi wa Mama

Tafuteni mbinu ya kumuweka Mama kwenye nafasi ya Uraisi akaonekana anfiti

mnaweza mkaaza kuwa na public audience mkaeleza update na miradi

Inayoendeleaa ,iliyokwama na nini changamotoo ,way forward

Na serikali hii ya alisi ya awamu ya Tano

Bashe hawatakiwi kuwepo ndani ya serikali lazima mjue hili
Bashe yupo kimkakati
So Mama yetu President of URt please fair Hussen Bashe in your Government
 
Wanajamvii Bwana yesu asifiwe!
Leo ni jumapili siku ya ibada sisi KKKT ni siku ya watoto wetuu (ni sikukuu yao) moja vitu vinanikereketa moyo wanguu ni hawa viongozi wa serikali hii inayojiita awamu ya sita wakati kiuhalisia ni ya Awamu ya tano ni kutumia muda mwingi kusema Samia, kila mahali Samia!

Tunajua fika yeye ndio aliyekuteua na Kiongozi wa serikali ni yeye kwa sasa. Hata dunia inajuaa yeye ndio mrithi wa kiti cha urais baada ya aliyekuwa kutwaliwa katoka maisha haya.

Sasa kwanini kutumia maneno yenye jina lake kwenye hotuba yako, kila ayaa wakati yapo mambo ya msingi ungweza kumuheshimisha aliyekuteua kwa kuzungumzaa?

Pia soma: Kuelekea 2025 - Jina la Dkt. Samia latamkwa mara 40 kwenye Hotuba ya Bajeti ya Serikali

NIWAPE TAARIFA YA KUWA MNAMDHALILISHA HAMPATI TUU MTU WA KUWAAMBIA LKN HUO NDIO UKWELI

Shida ya Viongozi wa Awamu ya Tano wanapenda sanaa kusifiwaa huo ndio ukweli lakini nataka niwaambie muwe creative kukumsifia kitaalamu.

Kutaja Jina lake mara nyingi wala haimuwekii kuzuri mnaonekana vitukoo na kuonekana hamna creative skills (Lower minded).

Najua nitapata upinzani kutoka kwa machawa lkn huu ndio ukweli.
Tatizo la nchi yetu viongozi wetu wana akili ndogo sana! Sasa wewe kama unatajwatajwa na hukemei unakuwa mtu gani? Kichwa kina ubongo kweli hicho?
 
UCHAWA ulianza kama tabia na namna ya kujipendekeza, sasa uchawa umefikia kuwa ni utamaduni

itafikia wakati uchawa utachokwa ktk jamii
 
Kulitaja jina la Raisi huu utaratibu haukuanza kwa Muheshimiwa Raisi Samia.
 
Kulitaja jina la Raisi huu utaratibu haukuanza kwa Muheshimiwa Raisi Samia.
Ni sawaa lkn kipindi hiki imekuwa to much mkuuu

Na inatakiwa kukemewaaa

Watu hawangaiki na shida za wananchi ,wanasifiaa hadi wanagaragara chini

Kwako hiyo ni sawaa mkuu
 
Mbwa ukishamjua jina, hakupi tabu abadan.

Tatizo lipo kwa anaetajwa jina kila mara kuliko watajaji.
 
Hilo la kutajwatajwa hata mimi linanikera lakini hilo la kurithi kiti cha urais sikubaliani nalo kwa sababu kiti cha urais hakina urithi,urais siyo mali binafsi ya mtu bali mtu anashika nafasi ya urais kwa mujibu wa katiba kwahiyo haina sijui kumalizia kipindi cha mtu fulani bali mtu akiachia nafasi ya urais kwa sababu yoyote ile basi muda wake unakuwa umeishia hapo.
katiba hii ya sasa ndio ibadilishwe mana ndio inaruhusu hii vurugu
 
Back
Top Bottom