MAULA
JF-Expert Member
- Apr 6, 2012
- 1,056
- 170
Jamani nakerwa na harufu ya madawa/mafuta anayotumia mpenzi wangu kwenye nywele zake ila ndo sina jinsi sasa maana nikimwambia anyoe nywele kichwa ndo tatizo tena.
Sasa wanaume wenzangu hili mnalivumiliaje hususani mda wa kulala usiku au nyie wamama wa humu ndani mnafanyaje kuondoa tatizo hili.
Maana hata mvae makofia yenu ya nywele yale ila bado harufu coz yanaharufu kali sana haya madawa/mafuta yenu ya nywele.
Sasa wanaume wenzangu hili mnalivumiliaje hususani mda wa kulala usiku au nyie wamama wa humu ndani mnafanyaje kuondoa tatizo hili.
Maana hata mvae makofia yenu ya nywele yale ila bado harufu coz yanaharufu kali sana haya madawa/mafuta yenu ya nywele.