Kuna shida kubwa sana juu ya matumizi ya vipodozi na mafuta yatumikayo kutengenezea nywere za kina mama.
Moja ya shida hiyo ni kuwa kuna mafuta ambayo mwanamke akitumia na anapolala na mwenzi wake ile (shombo) harufu anapovuta umdhuru na mojawapo ni kupunguza uwezo wa kujamiana, hivo si rahisi kunielewa ila ukweli ni huo.
TATIZO LAKO.
Kuna baadhi ya chemicals za kina mama zina harufu sana (nakuunga mkono) lakini sasa kama ni mkeo inabidi muongee nyie wenyewe muelewane, laiti hatokuelewa basi ana matatizo huyo.
USHAURI:
Kuna mafuta na vifaa vya kienyeji ambavyo ukitumia vinatunza nywere na havina shombo wala madhara.
Asante.