Mudawote JF-Expert Member Joined Jul 10, 2013 Posts 10,771 Reaction score 14,129 Mar 31, 2015 #41 Mpe talaka uachane naye
Bavaria JF-Expert Member Joined Jun 14, 2011 Posts 53,092 Reaction score 53,496 Mar 31, 2015 #42 Akajasembamba- said: inaonekana mke wake ni mbabe wengine ukiwaambia waache ndani hakulaliki, hawa wakiwa ndani huwa wanakubwa wababe mno, woga utawakuta nje na sio ndani, hata ukute mwembamba ka msumari wa bati, mziki wake akiwa kwake ni shiiiiida Click to expand... Ni vibaya kuruhusu mke wako akuendeshe
Akajasembamba- said: inaonekana mke wake ni mbabe wengine ukiwaambia waache ndani hakulaliki, hawa wakiwa ndani huwa wanakubwa wababe mno, woga utawakuta nje na sio ndani, hata ukute mwembamba ka msumari wa bati, mziki wake akiwa kwake ni shiiiiida Click to expand... Ni vibaya kuruhusu mke wako akuendeshe
Valentina JF-Expert Member Joined Oct 12, 2013 Posts 24,684 Reaction score 28,777 Feb 21, 2016 #43 Mkeo ameacha hayo mafuta?
Evelyn Salt JF-Expert Member Joined Jan 5, 2012 Posts 70,916 Reaction score 141,437 Feb 23, 2016 #44 Nenda duka la urembo nunua mafuta yenye harufu nzuri na spray ya nywele unamaliza tatizo
Rohombaya JF-Expert Member Joined Jul 4, 2011 Posts 13,067 Reaction score 10,393 Feb 23, 2016 #45 Dah . . Nyie mnahangaika bure labda huyo mkewe anamfanyia makusudi hataki kutoa tunda... hawana maana hawa...[emoji12]
Dah . . Nyie mnahangaika bure labda huyo mkewe anamfanyia makusudi hataki kutoa tunda... hawana maana hawa...[emoji12]
love more than100 JF-Expert Member Joined Jan 27, 2014 Posts 2,061 Reaction score 715 Feb 23, 2016 #46 Atumie olive oil ya maji mafuta ya nywele na ajitahd angalau kuosha kila wk
GREGO JF-Expert Member Joined Apr 3, 2014 Posts 4,279 Reaction score 2,921 Feb 23, 2016 #47 masai dada said: mnunulie unayoyapenda acha ubahili Click to expand... Kama hajaelewa hii comment; asitusumbue
masai dada said: mnunulie unayoyapenda acha ubahili Click to expand... Kama hajaelewa hii comment; asitusumbue