Nakerwa nikimwona taxi driver wa huyu dada...

Nakerwa nikimwona taxi driver wa huyu dada...

trachomatis

JF-Expert Member
Joined
Jun 7, 2011
Posts
3,758
Reaction score
744
Ni rafiki mpya,ingawa hajawa mpenzi wangu..maana ana mahusiano na mtu mwingine.

Ila,hatuishi kujuliana hali karibu kila siku. Sasa tunapomaliza maongezi,akiwa anataka kuondoka,anamuita dereva fulani kijana aliyemzoea...
Amekuwa akifanya hivyo mara nyingi.. Mpaka nakerwa driver yule anapokuja..

Nimemuuliza kama wana mahusiano,akaruka kimanga kwamba hana!

Ila naomba muelewe kuwa mi niko "single",yeye ana mahusiano,nayoweza kuyaita ya kudumu,na vilevile tunapenda kupeana "company"...

Je,ni tatizo la ajabu?
Ama la kawaida?
Ama vipi?
 
Ni rafiki mpya,ingawa hajawa mpenzi wangu..maana ana mahusiano na mtu mwingine.

Ila,hatuishi kujuliana hali karibu kila siku. Sasa tunapomaliza maongezi,akiwa anataka kuondoka,anamuita dereva fulani kijana aliyemzoea...
Amekuwa akifanya hivyo mara nyingi.. Mpaka nakerwa driver yule anapokuja..

Nimemuuliza kama wana mahusiano,akaruka kimanga kwamba hana!

Ila naomba muelewe kuwa mi niko "single",yeye ana mahusiano,nayoweza kuyaita ya kudumu,na vilevile tunapenda kupeana "company"...

Je,ni tatizo la ajabu?
Ama la kawaida?
Ama vipi?
Habari za leo. Napita tu.
 
uko darasa la ngapi la mapenzi?
Ni rafiki mpya,ingawa hajawa mpenzi wangu..maana ana mahusiano na mtu mwingine.

Ila,hatuishi kujuliana hali karibu kila siku. Sasa tunapomaliza maongezi,akiwa anataka kuondoka,anamuita dereva fulani kijana aliyemzoea...
Amekuwa akifanya hivyo mara nyingi.. Mpaka nakerwa driver yule anapokuja..

Nimemuuliza kama wana mahusiano,akaruka kimanga kwamba hana!

Ila naomba muelewe kuwa mi niko "single",yeye ana mahusiano,nayoweza kuyaita ya kudumu,na vilevile tunapenda kupeana "company"...

Je,ni tatizo la ajabu?
Ama la kawaida?
Ama vipi?
 
Ni rafiki mpya,ingawa hajawa mpenzi wangu..maana ana mahusiano na mtu mwingine.

Ila,hatuishi kujuliana hali karibu kila siku. Sasa tunapomaliza maongezi,akiwa anataka kuondoka,anamuita dereva fulani kijana aliyemzoea...
Amekuwa akifanya hivyo mara nyingi.. Mpaka nakerwa driver yule anapokuja..

Nimemuuliza kama wana mahusiano,akaruka kimanga kwamba hana!

Ila naomba muelewe kuwa mi niko "single",yeye ana mahusiano,nayoweza kuyaita ya kudumu,na vilevile tunapenda kupeana "company"...

Je,ni tatizo la ajabu?
Ama la kawaida?
Ama vipi?

Karuka kimanga.....
Ana mahusiano parmenent.......

Acha ujinga katafute mtu ambaye hata kupotezea muda na utakuwa na mamlaka nae.

Kwa huyo hata akikubalia utakuwa mshika pembe tu na dogo inaonekana una wivu sana.
 
waoooh! Ahsante jamani. Mzima wewe? Mi sijambo.
Samahani trach tunachakachua kidogo.
Miye namshukuru Mungu mzima wa afya. Nilipita jukwaani kupumzisha akili baada ya akili kuchoshwa na habari MKANGANYIKO za Arumeru.
 
Sasa ni kipi kinachokukera hapo wakati umesema ana uhusiano wa kudumu? Natarajia wa kudumu maana ana boyfriend wanaishi pamoja au anae mume.
 
uko darasa la ngapi la mapenzi?

Sijui.. Ila huenda, nina PhD... Ila si unajua mapenzi yalivyo?
Hayana mbabe..
Hayana msomi...
Hayana mwerevu...
Hayana mjinga....
Hayana ****...
Hayana stadi...
Hayana mjanja..
 
Ni rafiki mpya,ingawa hajawa mpenzi wangu..maana ana mahusiano na mtu mwingine.

Ila,hatuishi kujuliana hali karibu kila siku. Sasa tunapomaliza maongezi,akiwa anataka kuondoka,anamuita dereva fulani kijana aliyemzoea...
Amekuwa akifanya hivyo mara nyingi.. Mpaka nakerwa driver yule anapokuja..

Nimemuuliza kama wana mahusiano,akaruka kimanga kwamba hana!

Ila naomba muelewe kuwa mi niko "single",yeye ana mahusiano,nayoweza kuyaita ya kudumu,na vilevile tunapenda kupeana "company"...

Je,ni tatizo la ajabu?
Ama la kawaida?
Ama vipi?
Wewe bwana mdogo unajifunza mapenzi nini!!!! Jambo unalouliza ni la kipuuzi tu. Ndiyo maana wengine wamekujibu kwamba wanapita tu.
 
Heh... sikujua neno fudede liko censured!

(Is that a correct word?)
 
Ni rafiki mpya,ingawa hajawa mpenzi wangu..maana ana mahusiano na mtu mwingine.

Ila,hatuishi kujuliana hali karibu kila siku. Sasa tunapomaliza maongezi,akiwa anataka kuondoka,anamuita dereva fulani kijana aliyemzoea...
Amekuwa akifanya hivyo mara nyingi.. Mpaka nakerwa driver yule anapokuja..

Nimemuuliza kama wana mahusiano,akaruka kimanga kwamba hana!

Ila naomba muelewe kuwa mi niko "single",yeye ana mahusiano,nayoweza kuyaita ya kudumu,na vilevile tunapenda kupeana "company"...

Je,ni tatizo la ajabu?
Ama la kawaida?
Ama vipi?
Ptuuuuu, upuuzi tu! Ndiyo tatizo la jf vitoto vidogo vinajumuika na wakubwa.
 
Miye namshukuru Mungu mzima wa afya. Nilipita jukwaani kupumzisha akili baada ya akili kuchoshwa na habari MKANGANYIKO za Arumeru.

hee! Pole sana, usipende kufatilia sana hayo makitu. We penda mmu na chit chat. Siasa tupa kule.
 
hee! Pole sana, usipende kufatilia sana hayo makitu. We penda mmu na chit chat. Siasa tupa kule.
Kweli kabisa. Lile jukwaa ukikaa nusu saa tu utafura kwa hasira na BP juu. Bora huku.
 
Back
Top Bottom