pole sana ila tatizo analo pia wife wangu kwa sasa,ninachokifanya namchukua na mtembeza na miguu mpaka anachoka tukirudi home baada ya mda anahisi usingizi akisi usingizi namwamba alale kwa hiyo analala haijalishi ni mda gani,japo analalamika usiku bado usingizi hapati,ila bado ni ngumu muhimu vumilia kwa miezi iliyobaki