Wakuu habarini! Nimeshare shaver jana na mgongwa wa UKIMWI bila kujua bahati mbaya wakati natumia nilijikata.
Leo ameenda kuoga na yeye akatumia hiyo shaver kumuuliza akasema hiyo niyake na huwa anatumia yeye ikabidi niangalie kwa makini nikagundua nikweli mimi ndio nilikosea nikatumia yake.
Nimemuuliza ushawahi kujikata na shaver yako akasema nikawaida huwa anajikata yani hapa tumbo limepata joto msaada wenu nifanye nini
Leo ameenda kuoga na yeye akatumia hiyo shaver kumuuliza akasema hiyo niyake na huwa anatumia yeye ikabidi niangalie kwa makini nikagundua nikweli mimi ndio nilikosea nikatumia yake.
Nimemuuliza ushawahi kujikata na shaver yako akasema nikawaida huwa anajikata yani hapa tumbo limepata joto msaada wenu nifanye nini