Acha Maneno
Member
- Oct 6, 2018
- 36
- 46
Nilikuwa na ofisi yangu ya Uwakala wa fedha kwa mitandao ya simu lakin bahati mbaya nimefulia na line zipo ila sizifanyii kazi.
Kiukweli sina mpango wa kuzitumia hizi line tena.
Kama unazihitaji tunaweza kuingia makubaliano/Mkataba ili kuwe na usalama kwako na kwangu pia.
Line nilizonazo ni Mpesa, AirtelMoney, Halopesa na TigoPesa(Yas).
Nina Lipa namba pia ya Tigo, Mpesa na Airtel.
Line zote zimesajiliwa kwa Majina yangu namimi ndio mmiliki halali wa hizo line.
Kama unazihitaji hizi Lines naomba uje PM ili tuzungumze biashara.
ASANTE.
NB; NINGEPENDA NIKUKODISHE KWA MWAKA MMOJA NA ZAIDI ILI UWE NA WASAA MZURI WA KUFANYA KAZI.
Kiukweli sina mpango wa kuzitumia hizi line tena.
Kama unazihitaji tunaweza kuingia makubaliano/Mkataba ili kuwe na usalama kwako na kwangu pia.
Line nilizonazo ni Mpesa, AirtelMoney, Halopesa na TigoPesa(Yas).
Nina Lipa namba pia ya Tigo, Mpesa na Airtel.
Line zote zimesajiliwa kwa Majina yangu namimi ndio mmiliki halali wa hizo line.
Kama unazihitaji hizi Lines naomba uje PM ili tuzungumze biashara.
ASANTE.
NB; NINGEPENDA NIKUKODISHE KWA MWAKA MMOJA NA ZAIDI ILI UWE NA WASAA MZURI WA KUFANYA KAZI.