infor
New Member
- Sep 18, 2024
- 2
- 5
Sababu: ni kutopata muda wa kutosha kuisimamia kutokana na kubanwa na majukumu mengine mbali na eneo la biashara
Eneo: Km 30 kutoka mji wa Mafinga - Iringa
Huduma za uwakala wa benki: CRDB, NMB, NBC, TCB na MUCOBA. Mashine (POSS) zote ziko kwenye hali nzuri na zinafanya kazi
Uwakala wa simu: Mpesa, Tigo, Airtel na halotel. Till zote zinafanya kazi
Huduma za usajili wa simcard: Vodacom, Airtel na Tigo
Masharti: Interested person ni lazima awe tayari kuendesha biashara katika ofisi hii (Haya ni masharti ya mkataba (compliance) kati ya wakala na benki. Pia benki hasa CRDB wana tabia ya kuwatembelea mawakala mara kwa mara kuhakikisha wako kwenye eneo (post) husika na na wanatoa huduma)
Mkataba utakuwa ni kwa muda wa mwaka mmoja na utahusu ofisi (space) pamoja na mali zake
Ofisi ni kubwa, ina mfumo wa CCTV, teller na ina shelves za kuweka bidhaa zingine, kama vifaa vya electronics, phone and accessories
Leseni ya biashara iko na ina expire Feb 2025
Extras
Pia kuna till za uwakala mkuu wa tigo, halopesa na airtel zipo, M-pesa ipo kwenye matengenezo. hii ni biashara nyingine
Serious customers can PM
Eneo: Km 30 kutoka mji wa Mafinga - Iringa
Huduma za uwakala wa benki: CRDB, NMB, NBC, TCB na MUCOBA. Mashine (POSS) zote ziko kwenye hali nzuri na zinafanya kazi
Uwakala wa simu: Mpesa, Tigo, Airtel na halotel. Till zote zinafanya kazi
Huduma za usajili wa simcard: Vodacom, Airtel na Tigo
Masharti: Interested person ni lazima awe tayari kuendesha biashara katika ofisi hii (Haya ni masharti ya mkataba (compliance) kati ya wakala na benki. Pia benki hasa CRDB wana tabia ya kuwatembelea mawakala mara kwa mara kuhakikisha wako kwenye eneo (post) husika na na wanatoa huduma)
Mkataba utakuwa ni kwa muda wa mwaka mmoja na utahusu ofisi (space) pamoja na mali zake
Ofisi ni kubwa, ina mfumo wa CCTV, teller na ina shelves za kuweka bidhaa zingine, kama vifaa vya electronics, phone and accessories
Leseni ya biashara iko na ina expire Feb 2025
Extras
Pia kuna till za uwakala mkuu wa tigo, halopesa na airtel zipo, M-pesa ipo kwenye matengenezo. hii ni biashara nyingine
Serious customers can PM