Nakodishwa kupiga picha kwenye Matukio mbalimbali

Nakodishwa kupiga picha kwenye Matukio mbalimbali

Laroi Butata

Member
Joined
Oct 28, 2020
Posts
91
Reaction score
103
Nawasalimu kwa jina la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.

Natambua nyote ni maboss zangu, kwa maelezo mafupi yanayoendana na kichwa cha bandiko. Kutokana na taaluma yangu, Freelance Photographer naweza kukodishwa kupiga picha za aina yoyote kwa sehemu yoyote inayoruhusiwa, isipokuwa zile zisizokuwa na maadili.

Naweza kusafiri popote ndani na nje ya nchi ili kufanya kazi yako ifikie hitaji linalokusudiwa.

KARIBU.

Slogan yangu kwenye utendaji wangu inasema. "Kile unachofikilia tunakiweka katika uhalisia"
 
Hebu tupe uzoefu,

Wale mnaowapiga picha kabla ya kujifungua, hivi hamuwatamani!? Aisee!.

Wateja wa picha za uchi umeshawahi kuwapata?
A) BABY SHOWER PHOTOGRAPHY
Boss kwa ethics za kazi hii as a doctor huwezi kumtamani mteja wako, kwanza utaharibu mfumo wako wa kazi, pili unakaribisha haiba mbaya kwako tatu unavunja uhaminifu, mteja anakujengea taswira ya umalaya.

B) PONOGRAPHICS
Boss hizi kitu sijawahi na sidhani kama nitakuja kufanya hiyo kazi, sababu garama zangu kupiga hizo huwa ni kubwa sana.

Mfano kupiga hizo picha garama yangu inaanzia 3712USD.
 
we gharama zako pamoja na kazi zako ili ataependa akutafute
Asante boss wangu.
Garama za kazi inategemea na aina ya kazi unayotaka nifanye, mfano...

Unafanya tour mbugani, hapo garama ni tofauti na mtu anayefanya Pre wedding photography.
 
A) BABY SHOWER PHOTOGRAPHY
Boss kwa ethics za kazi hii as a doctor huwezi kumtamani mteja wako, kwanza utaharibu mfumo wako wa kazi, pili unakaribisha haiba mbaya kwako tatu unavunja uhaminifu, mteja anakujengea taswira ya umalaya.

B) PONOGRAPHICS
Boss hizi kitu sijawahi na sidhani kama nitakuja kufanya hiyo kazi, sababu garama zangu kupiga hizo huwa ni kubwa sana.

Mfano kupiga hizo picha garama yangu inaanzia 3712USD.

Hata kama za yule muke ya mheshimiwa Shinyanga?
Zile simple simple Hivi
 
A) BABY SHOWER PHOTOGRAPHY
Boss kwa ethics za kazi hii as a doctor huwezi kumtamani mteja wako, kwanza utaharibu mfumo wako wa kazi, pili unakaribisha haiba mbaya kwako tatu unavunja uhaminifu, mteja anakujengea taswira ya umalaya...
maana kazi ngumu sana ukiwa kama rijali,,pale paipu inaingia nusu hadi inamalizikia wee unapiga picha nigga anapiga kende
 
Back
Top Bottom