habari wakuu mimi n kijana mwenye miaka 21 nipo chuo na uzito wa 50kg thn nqa uref wa 5.4 nashindwa kuelewa kwa nini uzito wang ni mdogo kiasi hicho wakati nakula vizur bila ya hata kupitisha mlo na huwa hata siumwi mara kwa mara zaid ya mafua ya kuja na kupotea kila m2 huwa ananiambia cku znavyozd kwenda nazd kupungua but na mshukuru mungu mwaka jana mwshon nlipima hili gonjwa letu kubwa sina sasa wakuuu nshaurin nfabye nn maana nakereka mno ....asanten