ameline
JF-Expert Member
- Jan 8, 2013
- 2,292
- 1,151
habari zenu wadau...pamoja na shughuli zangu ninazofanya za kibiashara vilevile nilivutiwa na rafiki yangu aliekua anakopesha fedha kwa riba na kupata faida kubwa kwa haraka...yeye alianza na mil 30 na alikua maarufu sana hata wafanyabiashara wanaokwama marejesho na kodi hukimbilia kwake...basi mimi sikua na mtaji mkubwa sana nilianza na mil 10 nikawa nakopesha kuanzia laki 5 kwa riba ya laki...sasa mtaji wa kukopesha umekua mpaja mil 22 kwa miaka .ingawaje kuna changamoto za hapa na pale lakini nikavumilia tu ingawaje sijawahi kurushwa...
OMBI:
Naomba kwa yeyote mwenye uelewa na hizi microfinance institution anisaidie mfano kama finca, opportunity, brac n.k nafikiria kuanzisha Taasisi yangu pia ila sijui ni mtaji kias gani unatakiwa na vigezo gani..kwani natamani hata vijana wajiunde kwenye vikundi ili niwape hela za kuanzia polepole ila kwa hi style yangu ya kukopesha kienyeji sitaweza kwa hili.
Naomba mwenye uelewa anisaidie tafadhali..hata kuonana nae ikiwezekana..nipo arusha..wengi wenye hizo taasisi ukiomba ushauri wanadharau tu na kukejeli..JF nimeona ndo kimbilii langu...Ahsanteni
OMBI:
Naomba kwa yeyote mwenye uelewa na hizi microfinance institution anisaidie mfano kama finca, opportunity, brac n.k nafikiria kuanzisha Taasisi yangu pia ila sijui ni mtaji kias gani unatakiwa na vigezo gani..kwani natamani hata vijana wajiunde kwenye vikundi ili niwape hela za kuanzia polepole ila kwa hi style yangu ya kukopesha kienyeji sitaweza kwa hili.
Naomba mwenye uelewa anisaidie tafadhali..hata kuonana nae ikiwezekana..nipo arusha..wengi wenye hizo taasisi ukiomba ushauri wanadharau tu na kukejeli..JF nimeona ndo kimbilii langu...Ahsanteni