Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Umeshamuona huyo mshana aliyepotea?Nna mwezi wa tatu sasa sijapiga mashine kabla na baada ya wife kujifungua pia mashine haisimami mpaka asubuhi ndio inasimama je ni kawaida?
Duh.! Huu mchanganyiko sio sumu kweli?Hiyo hali ni kawaida hata mimi nilipata, mkuu tengeneza juice ya Tango, kitunguu saumu, kitunguu maji na tangawizi changanya kunywa kila siku mara tatu asubuhi mchana na jioni
Wiki tu mzigo unaliwa.Si mpaka afikishe six months?
Miss R tatiz unielewi ww khaa😂😂😂
toto jinga hili
Ndio sumu yenyewe unataka kuonjaDuh.! Huu mchanganyiko sio sumu kweli?
we mwenyewe hujielewi,,m ndo ntakuelewa!!!?Miss R tatiz unielewi ww khaa
Najielewa alafu nakuelewa ww mbona hvo mswe mwenyewe hujielewi,,m ndo ntakuelewa!!!?
Wee jau sana kumbe 😂 😂zingatia masomo totoo njuri
nimekosea kukwambia ukweli 😂😂Wee jau sana kumbe 😂 😂
Una umri gani? Kama uko 50+ Ni kawaida lakini below 45 Kuna kitu. Wife hajiachii na kanga moja akitoka kuoga?Nna mwezi wa tatu sasa sijapiga mashine kabla na baada ya wife kujifungua pia mashine haisimami mpaka asubuhi ndio inasimama je ni kawaida?