Nakosa hamu ya mapenzi na mke wangu mwezi wa pili tangu ajifungue. Je, ni kawaida?

Nakosa hamu ya mapenzi na mke wangu mwezi wa pili tangu ajifungue. Je, ni kawaida?

Nina mwezi wa tatu sasa sijapiga mashine kabla na baada ya wife kujifungua pia mashine haisimami mpaka asubuhi ndiyo inasimama je ni kawaida?
Kuna kitu kinaitwa postpartum depression, ni msongo wa mawazo unaowapata wazazi baada ya kupata mtoto.

 
Back
Top Bottom