Nakshi nyumba yako na Tanga stone

Nakshi nyumba yako na Tanga stone

Attachments

  • IMG-20170815-WA0011.jpg
    IMG-20170815-WA0011.jpg
    60.6 KB · Views: 56
  • IMG-20170805-WA0024.jpg
    IMG-20170805-WA0024.jpg
    47.9 KB · Views: 61
  • IMG-20170725-WA0030.jpg
    IMG-20170725-WA0030.jpg
    42 KB · Views: 55
hizo tanga stone naona hutakiwi kueka nyingi labda tu sehem fulani fulani hivi ukijaza mengi hayapendezi hata
 
Hapa tunakuletea ujenzi bora wa Tanga stone. Tumebobea kubuni kukata na kuyajenga mawe ya Tanga.

Ofisi yetu ipo Rufungira Mwenge utatupata kwa namba hii 0766111212
pia kupitia whatsapp utaweza kuona kazi zetu mbalimbali.

View attachment 517350View attachment 517351View attachment 517352View attachment 517355
Katika picha hizi kuna kazi ambazo nimefanya mimi nyingine sio zangu, ila nimelenga kukuonesha mwonekano wa Tanga stone ,
Jenga nasi.

Sent from my SM-T285 using JamiiForums mobile app
 
Tuite tuyapambe makazi yako sasa na Tanga stone.
 
Ndg sqm 1 kukata na kujenga ni tsh. 28,000
Fuso 1 kutoka Tanga ni tsh. 1,600,000. Na ikiwa kazi yako ni ndogo unachukulia mawe hapa Dar pc 4 za mawe utazinunua kwa tsh. 35,000 ambazo zikikatwa unapata sqm 1.
 
Back
Top Bottom