Fundi rangi
JF-Expert Member
- Sep 11, 2014
- 3,527
- 1,210
- Thread starter
- #161
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Vasco Dagama?MmMm.Hii mbona siielewi?Very good work! Nafurahi inatoka hapo. Huku tunaletewa from RSA...kwa sq m! Hongera sana
Mkuu sasa ni zamu yako kutuita tuyapambe makazi yako.Vasco Dagama?MmMm.Hii mbona siielewi?
Nikiwa na mawe nishakata tayari wewe ni kujenga tuu bei sh ngapi kwa sq m 1?Mafundi wengi kama amekuja site akakukuta unayo mawe tayari, square mt 1 kukata na kujenga ni tsh. Tshj 35,000 mimi nafanya tsh. 28,000.
15,000 mawe hata kama yamekatwa ni tofauti tiles.Nikiwa na mawe nishakata tayari wewe ni kujenga tuu bei sh ngapi kwa sq m 1?
kwa mujibu wa vipimo vya mkemia mkuu
Mnhhhh...kuna kitu haiko sawa. Bei zako kubwa sanaaa....sanaaa.
Mnhhhh...kuna kitu haiko sawa. Bei zako kubwa sanaaa....sanaaa.
kwa mujibu wa vipimo vya mkemia mkuu
Mkuu kwanza nafurahi kwa kwa kuchangia kwenye tangazo. Tanga stone siku hizi zinakatwa kwa size tofauti tofauti kulingana hitaji la mtu. Hivyo hapa tiles zinaingia kwasababu mtu akikupa kazi ya Tanga stone za kukata anataka kulinganisha na garama za ujenzi wa tiles.sema ni kwa sababu ya kuwa ana fanya biashara lakini... sikuwa nime muelewa tangu post yake ya kwanza... kuna sehemu ukimuuliza kitu ana kinganisha na tiles ndo hapo napata shida kumuelewa...
Tiles kuna za wachina wanakata majabali haya kama kule mwanza na zina toka tiles za hatari angalia makazi mengi bado watu wanazielewa tiles na fashion hupita, sasa unapo sema tanga ztone zitakuwapo milele fashion haito isha ndio una toa ulinganishi wa namna hii kwa mteja daaah
napata wasiwasi sana kama wewe sio dalali una tafuta kazi na kwenda kuwapa vibarua wafanye sina uhakika...