Alivuta fegi sheli huyo ππππHatimae uko huru.
Aisee kumbe.Alivuta fegi sheli huyo ππππ
Oaaa weee weeeh amenipa na password yake.....Mwanangu umeshalogwa π
Wakamlamba πππAisee kumbe.
Kumbe password tu. Nikajua amekupa moyo kabisaOaaa weee weeeh amenipa na password yake.....
Namuachaje sasa ....πππππ
Na hyo stage atairuka atoifikia alaaah ππππ ushangaz not for everyoneMwili tu na steki ndio bado.
Ulipotaja mshangazi nikakuonea wivu, nikasema kweli Vijana mnafaidi, maana enzi zetu Mwaka 47 hatukuwahi kuwa nao πMzee wa heshima zake jf humu...
πππππππ
Japo ulivokua kijana ulikua hovyo
Mmmmmh sio kwa hizi rahaImekuaje Tena mkubwa Roberto mbona umeanza kulainika...
Acha wivu. Mwenzio amejipataπππAina hii ya vijana Wana mchango mdogo sana katika Taifa!
(In Mwendazake Voices)
ππ
Aiseeee alafu napata notification kibao hapa mtaa kuwa vijana na wazee wanamtamani sana ila ndo hivo haya mambo yanaenda na nyota na bahati mkuu ππππππππ₯π₯π₯π₯Ulipotaja mshangazi nikakuonea wivu, nikasema kweli Vijana mnafaidi, maana enzi zetu Mwaka 47 hatukuwahi kuwa nao π
Hahaha.............kweli tumezeeka sasa π€
Ndo wachawi wanaanza hv hv na vitabia vyao vya hovyo ππππππ mkuu subira yavuta heri ujue...Acha wivu. Mwenzio amejipataπππ
Password za kila kitu mpaka chini mkuu imagine hata wewe ungemuacha huyu mtu ππππKumbe password tu. Nikajua amekupa moyo kabisa
Kumbe mapenzi ni vitu vidogo vidogo tu kama ndugu yangu apa anapagaiwswa na kupewa password ni vidogo tu vinapagawaisha kama hivi yani watu weingine mna complocate life,Oaaa weee weeeh amenipa na password yake.....
Namuachaje sasa ....πππππ
Nilijua mtasema mtasema mtasema ila mtajua wenyeweππππππKwa mara ya kwanza nilitaka kushangaa jina lako liwe tofauti na mambo yako
πππ Life is too short...Mmmmmh sio kwa hizi raha
Yaaah mkuu.... Hapa nilipofikia sasa jf mtaniona kwa manati maninaaaaaa πππππππππ Life is too short...
Hongera sana mkuu mapenzi ni furaha na sio karaha na kero, ikijiapata una haki kuongea hivi maana mapenzi siku hizi yamepoteaππNdo wachawi wanaanza hv hv na vitabia vyao vya hovyo ππππππ mkuu subira yavuta heri ujue...
Nilisubri mno