Nakuachaje sasa? Si kwa kuchukua moyo wangu na kuuteka hivi

Nakuachaje sasa? Si kwa kuchukua moyo wangu na kuuteka hivi

Kumbe mapenzi ni vitu vidogo vidogo tu kama ndugu yangu apa anapagaiwswa na kupewa password ni vidogo tu vinapagawaisha kama hivi yani watu weingine mna complocate life,
Kwa mfano akiwa anakuachia simu yake....
Kila shughuli unaenda nae....
πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
She proudly to be with me
.she tell her friends... πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
 
Hongera sana mkuu mapenzi ni furaha na sio karaha na kero, ikijiapata una haki kuongea hivi maana mapenzi siku hizi yamepoteaπŸ˜‚πŸ˜‚
πŸŽ‰πŸŽ‰πŸŽ‰πŸŽ‰πŸŽ‰πŸ”₯πŸ”₯πŸ”₯ Naimani na wewe upo huko mkuu hongera sana
 
Aiseeee alafu napata notification kibao hapa mtaa kuwa vijana na wazee wanamtamani sana ila ndo hivo haya mambo yanaenda na nyota na bahati mkuu πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ”₯πŸ”₯πŸ”₯πŸ”₯
Kwa kuwa Mimi sio miongoni mwa Wazee wa hovyo, natamani nimfahamu Mkwe wangu.

Sio vibaya akaja kunisalimia Babu yake sambamba na kuniletea Kiko πŸ€—
 
Kwa kuwa Mimi sio miongoni mwa Wazee wa hovyo, natamani nimfahamu Mkwe wangu.

Sio vibaya akaja kunisalimia Babu yake sambamba na kuniletea Kiko πŸ€—
Impossible.... Usije kuniibia bure maana na wewe mzee kuna mda unakuaga wa hovyo...

Mjini hapa uwezi sema unapo...jolea kwa watu wa ajabu ajabu wanaweza kuku overtake πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
 
Naelewa sasa....
Ogopa matapeli....
Ni vile ujapata tuu mshangazi mkuu wangu πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
Limshangazi lenye Msambwanda wa hatari linakuogesha ukiwa ndani ya gu beseni gukubwa maji yametiwa iriki na mdalasini yamoto yananukia marashi ya Dubai linasema pole baba pole baba angu,
Baada ya hapo linasema unakula kwanza au unanila ndio ule?

Oy Poor Brain acha ujinga kijana Taifa linakutegemea wewe unawaza ujinga mchana huu na hili jua kali hapa mjini!
Aaagh!
😁😁
 
Limshangazi lenye Msambwanda wa hatari linakuogesha ukiwa ndani ya gu beseni gukubwa maji yametiwa iriki na mdalasini yamoto yananukia marashi ya Dubai linasema pole baba pole baba angu,
Baada ya hapo linasema unakula kwanza au unanila ndio ule?

Oy Poor Brain acha ujinga kijana Taifa linakutegemea wewe unawaza ujinga mchana huu na hili jua kali hapa mjini!
Aaagh!
😁😁
Oaaa mtasema ila mtajua wenyewe..
Afu nikwambie kitu tuu... Anasemaga kaa ndani tulia mambo ya logbook sijui nn atamaliza mwenyewe..

Jana nimetoka kugombana nae kwanni mpaka umri huu siwezi endesha gari ..πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚

Kwa hizi raha mkuu kesho mapema tunaingia hospital mambo ya afya....
 
Oaaa mtasema ila mtajua wenyewe..
Afu nikwambie kitu tuu... Anasemaga kaa ndani tulia mambo ya logbook sijui nn atamaliza mwenyewe..

Jana nimetoka kugombana nae kwanni mpaka umri huu siwezi endesha gari ..πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚

Kwa hizi raha mkuu kesho mapema tunaingia hospital mambo ya afya....
Song - Amepotea
Singer - Mbosso

God Mercy this boy!
😁😁
 
Back
Top Bottom